Chris wood
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 1,669
- 5,007
Kila kukicha hali inazidi kuwa mbaya kwenye soko la ajira, oky nawatakia kila la kheri wote watakao shiriki kwenye hii interview
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apo ni connection,,kuomba Mungu kwa kufunga au kuroga kwa mafundi...MTU aliyekosa kimojawapo hapo juu anasindikiza wenzie
Hili nimelithibitisha janaMsichokijua kuhusu TRA wengi wanaomba wana kazi tayari wanafuata mkumbo TRA kuna hela ukiajiriwa
Acha kufuru weweSamahani, ila Mungu hapo hana nafasi. Hapo ni connection tu!
Kila kukicha hali inazidi kuwa mbaya kwenye soko la ajira, oky nawatakia kila la kheri wote watakao shiriki kwenye hii interview
View attachment 1872413
Hizo nafasi zigawanywe kwa usawa zenji 4 na bara 4.
duh mpk mwanangu wa miaka 2 umemhesabiaaaaa??!!!Zenji wana asilimia 20 katika wizara za muungano na taasisi zote zilizo ndani ya hizo wizara. Kwa hesabu ya haraka haraka hapo znz wana nafasi 2 hapo na 6 za bara.
Ila hizo 2 kwao ni nyingi sana maana znz ina watu wachache sana. Na wasomi ndio wachache zaidi kuliko idadi ya nafasi za ajira
Znz population 1m. Nafasi 2 zao
Tz bara population 59m nafasi 6 zao
We jamaa wewe.Hizo nafasi 8, Kuna 2 lazima ziende kwa wazanzibar.
Hapo nafasi zinabaki 6
Ahaa haaa haaaKila mtu anataka na yeye akaibe aheshimike
hakuna kitu kama hicho mkuu. Hapo watakaofauru mtihani ndio wanaoajiriwa. Kama ukizingua paper hata kama unatokea Zanzibar huajiriwi. Kipimo ni akili yako.duh mpk mwanangu wa miaka 2 umemhesabiaaaaa??!!!