TRA: Sukari iliyokamatwa Mbagala na Tabata, imeingia nchini kihalali, haitagawiwa bure

dubu

JF-Expert Member
Oct 18, 2011
3,496
3,461
TRA wameachia huru Sukari iliyokamatwa Mbagala na Tabata kwa kile walichodai imeingia nchini kihalali

Sukari iliyoachiliwa ni zile tani elfu 6,757 iliyokutwa kwenye maghala Mbagala Dar es Salaam, baada ya kujiridhisha iliingizwa kihalali nchini.

My Take:

Mimi nlijua Sukari hiyo itagawiwa bure, Nashauri Serikali ipunguze Siasa katika Mambo ya Msingi. Mambo kama haya yanapunguza imani kwa Rais, Haiwezekani rais aseme Sukari itakayokamatwa igawiwe bure halafu nyie Mseme eti Sukari iliingizwa kihalali kwa kufuata taratibu zote.

Je, nani kamdanganya Rais?. Hakika Rais Magufuli anahujumiwa

Custom bonded warehouse ni ghala la kuhifadhia bidhaa zikisubiri utaratibu wa kiforodha kukamilika/cleared.

Tumesikia kwenye media kuwa TAKUKURU imekamata sukari Mbagala majuzi.leo TRA Wametoa maelezo kuwa sukari ile uwepo wake haujavunja sheria.

Tena leo wameenda bandarini nako wamekuta sukari ambayo taratibu za kuitoa imekamilika jana!

Kwanini Hawa Takukuru wanakurupuka na kazi zao haziishii kutupa ripoti zenye afya? kwanini hawawasilini na vyombo vingine vya serikali kabla ya kutoa taarifa kwenye media kuwa wamekamata au wanafuatilia?

Mnakumbuka issue ya LUGUMI ilivyokuwa ya moto wakaingilia.mara wamechukua faili.mara kimyaaa!

Vizuri utendaji wao uwe na weledi naamini kazi nzuri walizowahi kuzifanya lakini zile mbaya zinawaharibia taswila yao katika jamii.kibaya zaidi wanamlisha Rais data feki za ukamataji kama huo!

Mungu ibariki Tanzania
 
Haya bana.Hamna cha mgao tena! Hii sasa sio au hii habari ni uzushi nini?Ala!
 
TRA wameachia huru Sukali iliyokamatwa Mbagala na Tabata kwa kile walichodai imeingia nchini kuhalali

Sukari iliyoachiliwa ni zile tani elfu 6,757 za sukari iliyokutwa kwenye maghala Mbagala Dar es Salaam, baada ya kujiridhisha iliingizwa kihalali nchini.

My Take:

Mimi nlijua Sukari hiyo itagawiwa bure, Nashauri Serikali ipunguze Siasa katika Mambo ya Msingi. Mambo kama haya yanapunguza imani kwa Rais, Haiwezekani rais aseme Sukari itakayo kamatwa igawiwe bure halafu nyie Mseme eti Sukari iliingizwa kuhalali kwa kufuata taratibu zote.

Je nani kamdanganya Rais?. Hakika Rais Magufuli anahujumiwa

Ni hatua sahihi kabisa na huo ndio utawala wa haki na kisheria...Alichokisema Rais ni kuwa kama sukari hiyo ikibainika ,baada ya uchunguzi, kuingizwa kwa magendo ndio ingetaifishwa.
 
TRA wameachia huru Sukali iliyokamatwa Mbagala na Tabata kwa kile walichodai imeingia nchini kuhalali

Sukari iliyoachiliwa ni zile tani elfu 6,757 za sukari iliyokutwa kwenye maghala Mbagala Dar es Salaam, baada ya kujiridhisha iliingizwa kihalali nchini.

My Take:

Mimi nlijua Sukari hiyo itagawiwa bure, Nashauri Serikali ipunguze Siasa katika Mambo ya Msingi. Mambo kama haya yanapunguza imani kwa Rais, Haiwezekani rais aseme Sukari itakayo kamatwa igawiwe bure halafu nyie Mseme eti Sukari iliingizwa kuhalali kwa kufuata taratibu zote.

Je nani kamdanganya Rais?. Hakika Rais Magufuli anahujumiwa
Kwani tatizo lilikuwa na kuingia ndani ya nchi kihalali au kimagendo? Rais hakuwai kuongelea hayo bali ameongelea sukari inayofichwa....
 
TRA wameachia huru Sukali iliyokamatwa Mbagala na Tabata kwa kile walichodai imeingia nchini kuhalali

Sukari iliyoachiliwa ni zile tani elfu 6,757 za sukari iliyokutwa kwenye maghala Mbagala Dar es Salaam, baada ya kujiridhisha iliingizwa kihalali nchini.

My Take:

Mimi nlijua Sukari hiyo itagawiwa bure, Nashauri Serikali ipunguze Siasa katika Mambo ya Msingi. Mambo kama haya yanapunguza imani kwa Rais, Haiwezekani rais aseme Sukari itakayo kamatwa igawiwe bure halafu nyie Mseme eti Sukari iliingizwa kuhalali kwa kufuata taratibu zote.

Je nani kamdanganya Rais?. Hakika Rais Magufuli anahujumiwa
Serikali iache mihemko ya kijinga, alisema Sumaye na tutakumbuka maneno yake
 
Back
Top Bottom