Kasheshe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 4,694
- 790
Baadhi wa wakazi wa Dar es Salaam wakiwa na bidhaa walizonunua katika maonyesho ya kimataifa ya biashara yaliyoanza Jumanne Jijini.
SERIKALI imekabidhi rasmi jukumu la kukusanya kodi ya majengo kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jana Kamishna wa Kodi za ndani, Joannes Mallya tafanya kazi hiyo kwa niaba ya Serikali za Mitaa na kwamba inaanza kutekelezwa mwezi huu.
Habari kamili bofya hapa
- Utekelezaji umeanza rasmi jana
- Majengo yote kuthaminiwa upya
- Mkoa wa Dar kufungua mlango
SERIKALI imekabidhi rasmi jukumu la kukusanya kodi ya majengo kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jana Kamishna wa Kodi za ndani, Joannes Mallya tafanya kazi hiyo kwa niaba ya Serikali za Mitaa na kwamba inaanza kutekelezwa mwezi huu.
Habari kamili bofya hapa