BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,007
TRA sasa yagwaya wafanyabiashara EFD
Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipakodi wa TRA, Richard Kayombo.PICHA|MAKTABA
Na Frederick Katulanda na Hadija Jumanne, Mwananchi
Posted Jumatano,Januari 1 2014 saa 12:27 PM
Kwa ufupi
Hivi sasa itawatoza faini na kuendelea na utoaji elimu kabla ya kufunga maduka.
Mwanza/Dar. Wakati mgomo wa wafanyabiashara mkoani Mwanza unaendelea, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema haitatumia ubabe kuwafungia maduka ambao watashindwa kuwa na Mashine za Kielektroniki (EFD).
Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipakodi wa TRA, Richard Kayombo alisema wameweka mikakati ya kuwaelimisha wafanyabiashara.
Miongoni mwa mikakati hiyo, ni kuwatembelea na kuwashauri, kuwakumbusha na kuwatoza faini ya asilimia tano hadi kumi kwa ambaye hajatekeleza utaratibu wa kutumia mashine hizo.
Wakati TRA wakisema hayo, polisi mkoani Mwanza jana walipita mitaani kuwataka wafanyabiashara kufungua maduka bila mafanikio.
TRA sasa yagwaya wafanyabiashara EFD - Kitaifa - mwananchi.co.tz
Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipakodi wa TRA, Richard Kayombo.PICHA|MAKTABA
Na Frederick Katulanda na Hadija Jumanne, Mwananchi
Posted Jumatano,Januari 1 2014 saa 12:27 PM
Kwa ufupi
Hivi sasa itawatoza faini na kuendelea na utoaji elimu kabla ya kufunga maduka.
Mwanza/Dar. Wakati mgomo wa wafanyabiashara mkoani Mwanza unaendelea, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema haitatumia ubabe kuwafungia maduka ambao watashindwa kuwa na Mashine za Kielektroniki (EFD).
Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipakodi wa TRA, Richard Kayombo alisema wameweka mikakati ya kuwaelimisha wafanyabiashara.
Miongoni mwa mikakati hiyo, ni kuwatembelea na kuwashauri, kuwakumbusha na kuwatoza faini ya asilimia tano hadi kumi kwa ambaye hajatekeleza utaratibu wa kutumia mashine hizo.
Wakati TRA wakisema hayo, polisi mkoani Mwanza jana walipita mitaani kuwataka wafanyabiashara kufungua maduka bila mafanikio.
TRA sasa yagwaya wafanyabiashara EFD - Kitaifa - mwananchi.co.tz