- Thread starter
- #41
Hahahaha nawe una maneno,utadhan wewe ni mtaalam wa kila kitu,mimi si mkwepa kodi fatilia Uzi anyway ilikuwa ni kuleta kwa wanajamvi huwez jua leo kwangu kesho kwakoMkuu, Ingia Tigopesa Lipia Gari lako, Acha kuwachosha wana Jamvi, Pili Nawasiswasi kama wewe ni Mmiliki wa Gari, Maana Mpaka unafikia kukamatwa Ujue wewe ni Jeuri wa kulipa Kodi, Wangekutia na Lockup ili Next time Uwe na Nidhamu na sio unakaa na kodi ya serikali wakati inatakiwa Ikajenge zahanati na kusaidia Mambo ya Maendeleo.