Tra on this you need to change

Njowepo

JF-Expert Member
Feb 26, 2008
9,710
2,226
Nimenunua gari toka Japan worth 5000usd TRA wanasema iyo sio bei yake while ata Document zangu zaonyesha ivyo.At last they came up with their own price na kunitwanga kodi ya kama 4mil ivi.Na sio mimi tuu kuna friends zangu kama watatu wamefanyiwa the same thing mmoja akahonga bei wakashusha.Ata gari ya kampuni ilinunuliwa used toka Durbai jamaa wamegoma kuaccept a documented price.
Mimi naona hii inacreate loophole ya rushwa,sijui nchi zingine Uganda whatever price you reproduce as long as uko na supporting document ndio watakayoitumia kukutoza kodi.
TRA kuna haja ya kufanya mabadiliko bse to me that’s quite unprofessional
Let the year 2010 be a year of changes and creativity.
 
Nimenunua gari toka Japan worth 5000usd TRA wanasema iyo sio bei yake while ata Document zangu zaonyesha ivyo.At last they came up with their own price na kunitwanga kodi ya kama 4mil ivi.Na sio mimi tuu kuna friends zangu kama watatu wamefanyiwa the same thing mmoja akahonga bei wakashusha.Ata gari ya kampuni ilinunuliwa used toka Durbai jamaa wamegoma kuaccept a documented price.
Mimi naona hii inacreate loophole ya rushwa,sijui nchi zingine Uganda whatever price you reproduce as long as uko na supporting document ndio watakayoitumia kukutoza kodi.
TRA kuna haja ya kufanya mabadiliko bse to me that’s quite unprofessional
Let the year 2010 be a year of changes and creativity.

Kwanza hongera kwa kununua gari!

Lakini pia niweke wazi masikitiko yangu juu ya tabia hiyo ya TRA kukataa legal documents za kununulia gari!...

Hv mtu anaweza kufoji docs hizo?..Na wao hawana njia yoyote ya kuwasiliana na wauzaji ili kucrosscheck, au ni njia tu ya kuwakandamiza watu?

Iweje wakihongwa wanakubali illegal docs?

Hii isipite hivihivi mkuu, jaribu kutafuta haki ilipo, wabipu hata pisisibii!...ebo!
 
Kwanza hongera kwa kununua gari!

Lakini pia niweke wazi masikitiko yangu juu ya tabia hiyo ya TRA kukataa legal documents za kununulia gari!...

Hv mtu anaweza kufoji docs hizo?..Na wao hawana njia yoyote ya kuwasiliana na wauzaji ili kucrosscheck, au ni njia tu ya kuwakandamiza watu?

Iweje wakihongwa wanakubali illegal docs?

Hii isipite hivihivi mkuu, jaribu kutafuta haki ilipo, wabipu hata pisisibii!...ebo!
Documents bwana zinafojiwa vizuri saana. Tena sio huko walikouza bali hapo Bongo na hao maajent. Unamsikia anakuuliza vipi tushushe mzee? Aghhhhhhhhhh!
Nadhani tabia zetu mbaya ndiyo zimetufikisha hapo. Labda sisi wenyewe tujadili tufanye nini kukomesha hili kabla ya kulaumu TRA
 
Documents bwana zinafojiwa vizuri saana. Tena sio huko walikouza bali hapo Bongo na hao maajent. Unamsikia anakuuliza vipi tushushe mzee? Aghhhhhhhhhh!
Nadhani tabia zetu mbaya ndiyo zimetufikisha hapo. Labda sisi wenyewe tujadili tufanye nini kukomesha hili kabla ya kulaumu TRA

Hata kama watu wachache wanafoji document sioni kama TRA wanastahili kugeneralize kuwa kila mtu anayeingiza vitu TZ amefoji documents. Wanatakiwa wawe na system yao ya kuhakiki kama document zimefojiwa au la badala ya kugeneralize na kupiga ramli. Na kama kweli mtu anakuwa amefoji documents kwa nini hawamfikishi huyo mtu kwenye vyombo vya sheria maana kwa ufahamu wangu mdogo kufoji documents ni kosa la jinai ambalo mhusika anatakiwa achulikuwe sheria.

Wakati mwingine inachekesha mtu wa TRA anataka eti umwambie ni wapi yeye anaweza kupata kitu kama hicho (say gari) kwa bei hiyo. Goshiiiiiiiiiiiiiiiii.

TRA wanatakiwa wabadilike na siyo kujisifia eti tumevuka malengo wakati wanamuonea MTZ wa kawaida na kuwaachia vigogo wakikwepa kulipa kodi stahili.
 
Back
Top Bottom