Kunguru Mjanja
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 2,036
- 3,929
TRA kupitia kwa kamshna wake mkuu Charles Kichere imesema nyumba za mfanyabiashara Said Lugumi zinazopigwa mnada, hazitoshelezi kulipa deni analodaiwa na mamlaka hiyo.
Ametoa kauli hiyo akiwa mkoani Kagera na kubainisha kuwa TRA itashikilia mali nyingine za mfanyabishara huyo.
Chanzo: Azam TV
Ametoa kauli hiyo akiwa mkoani Kagera na kubainisha kuwa TRA itashikilia mali nyingine za mfanyabishara huyo.
Chanzo: Azam TV