Wewe utakua mfanyakazi, hawa watu malengo yao ni rushwa, Hakuna mtu anayekataa kulipa kodi, watu wanataka kulipa kodi ya halali, na kama kipindi hiki cha korona wanafayabiashara Wengi hawezi kulipa kodi kwani biashara zimekwama.Wafanyabiashara Tanzania hawataki kulipa kodi halali, na matamshi yakukurupuka ya SSH yamewapa kibri cha kukataa kulipa kodi halali kwa uwazi kabisa, TRA wafanye nini kwa mtu anayekataa kulipa kodi kwa uwazi kabisa? SSH is naive na anaenda kuleta mgogoro mkubwa wa TRA kwa sababu akili finyu.