Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,944
- 18,653
Kweli nimeanza kuelewa kwanini vyeti vianze kukaguliwa kama kweli vinaendana na uwezo wa mtu.
Inawezekana calculator yao imeishiwa battery.hapo kuna fix imefanyika na ndio maaana wameshindwa hata kujumlisha
sorry ,mbona Tangazo limetoka 10 sept 2017 au ndio changa la macho
Realy. Alafu kesho mje mjitambe eti nyie ni wazalendo wa Tanzania.Tufanye hiyo shilingi moja haijakusanywa, itabadili nini?
Kuna vitu vidogo vidogo vya kuangalia na kuachana navyo, ni vidogo sana impact yake ni negligible.
Sasa mkuu unamuuliza nani anayeweza kupa jibu sahihi humu?Mbona tangazo limetoka Sep 10
Mkuu unataka aliyekosea hapo anyongwe?Realy. Alafu kesho mje mjitambe eti nyie ni wazalendo wa Tanzania.
China kosa kama hili unanyongwa. Katika hesabu, kukosea digit moja ni kosa kubwa sana. Mwasibu ukikosea digit moja unaweza shitakiwa kwa kosa la kucheza na data kwa malengo yako binafsi.
Nimesema ingekuwa kama kule china. Huu kwao ni kama kuhujumu uchumi.Mkuu unataka aliyekosea hapo anyongwe?
Sio kila kitu kifanywe siasa.
Kosa dogo sana hili ila ndio lishageuka talk of the town.Nimesema ingekuwa kama kule china. Huu kwao ni kama kuhujumu uchumi.
Hapo unazungumzia trillions of money...usifikili hiyo shillingi ya hapo ni pesa ndogo...hayo Ni mamilion ya fedha weweTufanye hiyo shilingi moja haijakusanywa, itabadili nini?
Kuna vitu vidogo vidogo vya kuangalia na kuachana navyo, ni vidogo sana impact yake ni negligible.