Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Unaingiza mzigo Tanzania, TRA wanapiga gharama za kodi wanakutuma ulipe Kodi husika..ukifika kwa wauzaji TRA wanasema lazima walipe VAT na hivyo kuelekeza kutolewa kwa risit ya kielectronic kwa kila bidhaa inayouzwa.
Kama nguo ilipangwa kuuzwa 100,000 ukiipa punguzo la asilimia 80% itauzwa Kama 20,000 na hii pesa ukikokotoa VAT haitakuwa kuwa sawa na VAT ya 100,000, itqkuwa pungufu.
Napenda kujua hii pungufu inalipwaje au inasamehewa? Means kwa tafsiri nyingine kila mfanyabiashara anayo mamlaka ya kuweka discount kwenye bidhaa zake?
Jambo la pili, Ni kwa namna gani TRA wanaweza kudhibiti Hawa wafanyabiashara wasidanganye kuuza mzigo kwa punguzo la 80% kumbe mzigo mkubwa unaingizwa sokoni kwa njia zisizofaa...mfanyabiashara kwenye duka A anaweka punguzo la 80% anakwenda kwenye duka jingine ambalo ana maslahi nalo anauza bei iaiyo na punguzo baada ya kipindi Cha punguzo kwisha.
TRA , kipindi Cha sikukuu Ni kipindi ambacho wafanyabiashara wanategemea kuuza bidhaa zao, kwa punguzo la 80% kwenye maduka ambayo wamiliki wake wanatiliwa mashaka hakuleti madhara kwa walipa Kodi walio wengi?
Tanzania, ni Nani mwenye mamlaka ya kuelekeza punguzo la bei za bidhaa?
Hasara inayopatikana na mfumo huu Nani anawajibika kuifidia? Huu siyo ule ule mchezo wa akina Quality ambazo tuliwatamka kuwa ni wezi?
Ni vigumu kuamini kwamba kampuni inaweza kuagiza mzigo kwa M100 ikauingiza sokoni kwa 20M.
Kama nguo ilipangwa kuuzwa 100,000 ukiipa punguzo la asilimia 80% itauzwa Kama 20,000 na hii pesa ukikokotoa VAT haitakuwa kuwa sawa na VAT ya 100,000, itqkuwa pungufu.
Napenda kujua hii pungufu inalipwaje au inasamehewa? Means kwa tafsiri nyingine kila mfanyabiashara anayo mamlaka ya kuweka discount kwenye bidhaa zake?
Jambo la pili, Ni kwa namna gani TRA wanaweza kudhibiti Hawa wafanyabiashara wasidanganye kuuza mzigo kwa punguzo la 80% kumbe mzigo mkubwa unaingizwa sokoni kwa njia zisizofaa...mfanyabiashara kwenye duka A anaweka punguzo la 80% anakwenda kwenye duka jingine ambalo ana maslahi nalo anauza bei iaiyo na punguzo baada ya kipindi Cha punguzo kwisha.
TRA , kipindi Cha sikukuu Ni kipindi ambacho wafanyabiashara wanategemea kuuza bidhaa zao, kwa punguzo la 80% kwenye maduka ambayo wamiliki wake wanatiliwa mashaka hakuleti madhara kwa walipa Kodi walio wengi?
Tanzania, ni Nani mwenye mamlaka ya kuelekeza punguzo la bei za bidhaa?
Hasara inayopatikana na mfumo huu Nani anawajibika kuifidia? Huu siyo ule ule mchezo wa akina Quality ambazo tuliwatamka kuwa ni wezi?
Ni vigumu kuamini kwamba kampuni inaweza kuagiza mzigo kwa M100 ikauingiza sokoni kwa 20M.