Kampuni moja ya kutengeneza barabara ya Kichina ikimtumia mzawa kupitisha spea na vifaa vingine vihusikavyo na ujenzi wa barabara hapa Tz vilikamatwa jana mpakani ( Namanga ) kwa kuviweka ndani ya sanduku la kubebea maiti.Bahati mbaya jamaa hakuwa na document zilizo jitosheleza wakati wa ku clear huyo maiti ndipo TRA wakaamua kufungua hilo sanduku ili wajiridhishe maana jamaa alishindwa kutoa maelezo kwa ufasaha, mara baada ya kushindwa hata kutaja jina la marehemu ndipo waliamua kufungua sanduku nakukuta ni spares.Inasemekana huyo jamaa ndio kazi yake ya kupitisha mali za wachina bila kulipia ushuru.