TRA na Wizara ya Fedha: Mkitaka mapato mengi,rudisheni utaratibu wa zamani enzi ya Raisi Mkapa.

Kididimo

JF-Expert Member
Sep 20, 2016
3,791
3,360
Nimesoma hotuba ya bajeti 2017/2018 nikagundua yafuatayo:-
1. Makusanyo ya fedha za kodi hayakufikia malengo .
2. Biashara elfu 7 hivi zimefungwa,na laki 2 hivi zimefunguliwa.
3. Bajeti ya maendeleo imetekelezwa chini ya 40%.
4. Waziri wa fedha anasema uchumi umekua kuliko huko nyuma.

Sawa ninajiuliza mambo kadhaa kuhusiana na yaliyoelezwa hapo juu.
A. Kama biashara zimefunguliwa nyingi kuliko zilizofungwa,kwa nini makusanyo ni kidogo?

B. Kama uchumi umekua,kwa nini uwekezaji/ utekelezaji miradi ya maendeleo umeshuka kiasi hicho? Nimegundua aidha kuna mahali hapako sawa na maelezo ya hotuba ya bajeti yamefunika jambo na unatakiwa utafiti makini.

Nitaeleza kidogo kwa uelewa wangu.
I) Biashara elfu 7 zilizofungwa,kuna uwezekano zilikuwa na mtaji mkubwa zaidi kuliko biashara laki 2 zilizofunguliwa. Yaani wafanyabiashara wameshift kutoka biashara kubwa kwenda biashara ndogo (umachinga) ambazo kodi hakuna au ni kidogo sana.
II). Uchumi kwa maana ya GDP,umeonekana kukua kutokana na matumizi makubwa yaliyotokana na inflation (dola imepanda mara kadhaa), na uwekezaji umeshuka ( ambapo imejionyesha kwenye bajeti ya miradi ya maendeleo 40%). Na kwa vile uwekezaji umeshuka,hakuna uuzaji mkubwa wa bidhaa nje. Hivyo,ni dhahiri,dhana ya uchumi kukua kunakosemwa kuangaliwe kwa jicho la tatu.

Maoni yangu:-
i). Kiwango cha kodi kinachotozwa wafanyabiashara
/wawekezaji wakubwa na hata wa kati,kiangaliwe upya ikibidi kipunguzwe,ili wengi waingie na kodi ipatikane zaidi.
ii). Mwananchi anayeanza biashara asianze hapohapo kulipa kodi,apewe grace period ya miezi 3 au 6 ndiyo aanze. Hapo nyuma ilikuwa hivyo,na hata nchi jirani kama Zambia (walikokimbilia wengi),wanafanya hivyo. Kwa kufanya hivyo, biashara nyingi na zenye tija zitafunguliwa,mapato yataongezeka.
iii). Maafisa wetu wa TRA,Biashara na BRELA,wasikae tuu maofisini kucheza na kompyuta,wawatembelee /wawekezaji /wafanyabiashara wajue hali zao,watoe elimu nk. Na wasisubiri tu maofisini kuletewa na kupokea barua za kufunga biashara! Na ikitokea eneo fulani,biashara nyingi ziimefungwa,maofisa hawa wawajibishwe.
iv). Ikitokea mfanyabiashara ana deni la kodi,isiwe ni sababu ya kufungiwa au kukamatiwa mali. Zifanyike logical negotiations ikibidi alipe kidogokidogo hadi amalize. Kwa kufanya hivyo,TRA,wataendelea kupata mapato kwa mtu huyu miaka nenda rudi kuliko angefunga.
v).TRA,iwe ni Agency kwa maana ijitegemee. Isibanwe ndani ya Wizara ya Fedha kuepuka wakati mwingine kutumika kisiasa. Ifanye kazi kitaalamu zaidi na autonomously.
 
Nimesoma hotuba ya bajeti 2017/2018 nikagundua yafuatayo:- 1. Makusanyo ya fedha za kodi hayakufikia malengo 2. Biashara elfu 7 hivi zimefungwa,na laki 2 hivi zimefunguliwa. 3. Bajeti ya maendeleo imetekelezwa chini ya 40%. 4. Waziri wa fedha anasema uchumi umekua kuliko huko nyuma. Sawa ninajiuliza mambo kadhaa kuhusiana na yaliyoelezwa hapo juu. A. Kama biashara zimefunguliwa nyingi kuliko zilizofungwa,kwa nini makusanyo ni kidogo? B. Kama uchumi umekua,kwa nini uwekezaji/ utekelezaji miradi ya maendeleo umeshuka kiasi hicho? Nimegundua aidha kuna mahali hapako sawa na maelezo ya hotuba ya bajeti yamefunika jambo na unatakiwa utafiti makini. Nitaeleza kidogo kwa uelewa wangu. I) Biashara elfu 7 zilizofungwa,kuna uwezekano zilikuwa na mtaji mkubwa zaidi kuliko biashara laki 2 zilizofunguliwa. Yaani wafanyabiashara wameshift kutoka biashara kubwa kwenda biashara ndogo (umachinga) ambazo kodi hakuna au ni kidogo sana. II). Uchumi kwa maana ya GDP,umeonekana kukua kutokana na matumizi makubwa yaliyotokana na inflation (dola imepanda mara kadhaa), na uwekezaji umeshuka ( ambapo imejionyesha kwenye bajeti ya miradi ya maendeleo 40%). Na kwa vile uwekezaji umeshuka,hakuna uuzaji mkubwa wa bidhaa nje. Hivyo,ni dhahiri,dhana ya uchumi kukua kunakosemwa kuangaliwe kwa jicho la tatu. Maoni yangu:-
i). Kiwango cha kodi kinachotozwa wafanyabiashara
/wawekezaji wakubwa na hata wa kati,kiangaliwe upya ikibidi kipunguzwe,ili wengi waingie na kodi ipatikane zaidi.
ii). Mwananchi anayeanza biashara asianze hapohapo kulipa kodi,apewe grace period ya miezi 3 au 6 ndiyo aanze. Hapo nyuma ilikuwa hivyo,na hata nchi jirani kama Zambia (walikokimbilia wengi),wanafanya hivyo. Kwa kufanya hivyo, biashara nyingi na zenye tija zitafunguliwa,mapato yataongezeka.
iii). Maafisa wetu wa TRA,Biashara na BRELA,wasikae tuu maofisini kucheza na kompyuta,wawatembelee /wawekezaji /wafanyabiashara wajue hali zao,watoe elimu nk. Na wasisubiri tu maofisini kuletewa na kupokea barua za kufunga biashara! Na ikitokea eneo fulani,biashara nyingi ziimefungwa,maofisa hawa wawajibishwe.
iv). Ikitokea mfanyabiashara ana deni la kodi,isiwe ni sababu ya kufungiwa au kukamatiwa mali. Zifanyike logical negotiations ikibidi alipe kidogokidogo hadi amalize. Kwa kufanya hivyo,TRA,wataendelea kupata mapato kwa mtu huyu miaka nenda rudi kuliko angefunga.
v).TRA,iwe ni Agency kwa maana ijitegemee. Isibanwe ndani ya Wizara ya Fedha kuepuka wakati mwingine kutumika kisiasa. Ifanye kazi kitaalamu zaidi na autonomously.
Unajua hawa TRA hawana uelewa wa ukusanyaji mapato au na siasa nayo inachangia! Mimi LA kwangu ni moja tuu, wenzetu wanaojua Maana ya ukusanyaji kodi mara zote wanapigania biashara zifanyike maeneo yaliyotengwa rasmi! Hii inachochea maana kila mfanya biashara anaweza kufikika na kutozwa kodi kwa biashara yoyote anayofanya!
Fikiria sasa imefika mahali wafanya biashara wakubwa (Walio wengi) hawalipi kodi kabisa katika utoaji wa efd receipts! Hii ni aibu hasa kwenye maduka ya spares ! Ninalotaka kusema uwepo wa biashara holela barabarani inachangia kwa kiasi kikubwa ukwepaji wa kodi! Nijiweke wazi mimi dhana yangu ni kila mwenye kipato ni muhimu kuchangia kodi kwa maendeleo ya taifa! Iweje Hawa watu wazuie maeneo yote ya mijini Huku hawalipi kodi!?
 
Nimesoma hotuba ya bajeti 2017/2018 nikagundua yafuatayo:- 1. Makusanyo ya fedha za kodi hayakufikia malengo 2. Biashara elfu 7 hivi zimefungwa,na laki 2 hivi zimefunguliwa. 3. Bajeti ya maendeleo imetekelezwa chini ya 40%. 4. Waziri wa fedha anasema uchumi umekua kuliko huko nyuma. Sawa ninajiuliza mambo kadhaa kuhusiana na yaliyoelezwa hapo juu. A. Kama biashara zimefunguliwa nyingi kuliko zilizofungwa,kwa nini makusanyo ni kidogo? B. Kama uchumi umekua,kwa nini uwekezaji/ utekelezaji miradi ya maendeleo umeshuka kiasi hicho? Nimegundua aidha kuna mahali hapako sawa na maelezo ya hotuba ya bajeti yamefunika jambo na unatakiwa utafiti makini. Nitaeleza kidogo kwa uelewa wangu. I) Biashara elfu 7 zilizofungwa,kuna uwezekano zilikuwa na mtaji mkubwa zaidi kuliko biashara laki 2 zilizofunguliwa. Yaani wafanyabiashara wameshift kutoka biashara kubwa kwenda biashara ndogo (umachinga) ambazo kodi hakuna au ni kidogo sana. II). Uchumi kwa maana ya GDP,umeonekana kukua kutokana na matumizi makubwa yaliyotokana na inflation (dola imepanda mara kadhaa), na uwekezaji umeshuka ( ambapo imejionyesha kwenye bajeti ya miradi ya maendeleo 40%). Na kwa vile uwekezaji umeshuka,hakuna uuzaji mkubwa wa bidhaa nje. Hivyo,ni dhahiri,dhana ya uchumi kukua kunakosemwa kuangaliwe kwa jicho la tatu. Maoni yangu:-
i). Kiwango cha kodi kinachotozwa wafanyabiashara
/wawekezaji wakubwa na hata wa kati,kiangaliwe upya ikibidi kipunguzwe,ili wengi waingie na kodi ipatikane zaidi.
ii). Mwananchi anayeanza biashara asianze hapohapo kulipa kodi,apewe grace period ya miezi 3 au 6 ndiyo aanze. Hapo nyuma ilikuwa hivyo,na hata nchi jirani kama Zambia (walikokimbilia wengi),wanafanya hivyo. Kwa kufanya hivyo, biashara nyingi na zenye tija zitafunguliwa,mapato yataongezeka.
iii). Maafisa wetu wa TRA,Biashara na BRELA,wasikae tuu maofisini kucheza na kompyuta,wawatembelee /wawekezaji /wafanyabiashara wajue hali zao,watoe elimu nk. Na wasisubiri tu maofisini kuletewa na kupokea barua za kufunga biashara! Na ikitokea eneo fulani,biashara nyingi ziimefungwa,maofisa hawa wawajibishwe.
iv). Ikitokea mfanyabiashara ana deni la kodi,isiwe ni sababu ya kufungiwa au kukamatiwa mali. Zifanyike logical negotiations ikibidi alipe kidogokidogo hadi amalize. Kwa kufanya hivyo,TRA,wataendelea kupata mapato kwa mtu huyu miaka nenda rudi kuliko angefunga.
v).TRA,iwe ni Agency kwa maana ijitegemee. Isibanwe ndani ya Wizara ya Fedha kuepuka wakati mwingine kutumika kisiasa. Ifanye kazi kitaalamu zaidi na autonomously.
Haku mwanaccm hata mmoja ataelewa ulichoandika
 
All the kudos to you mtoa mada. Kama ulivyosema haiwezekani uchumi ukawa umepanda halafu uwekezaji upungue. Tena viwanda na makampuni mengi yamepunguza wafanyakazi. Zaidi ya hapo mwaka jana ulikuwa na ukame na upungufu wa chakula. Maana ya upungufu wa chakula ni kwamba Watanzania wengi (ambao ni zaidi ya 70%) hawakuzalisha chochote. Kwa hivyo kuna namna takwimu zimetumiwa (kupindishwa) ili kuonyesha uchumi umekua. Kwa mfano:- Kama $ ya Marekani ilikuwa na thamani ya sh 2,000 mwaka jana, na mwaka huu ni 2,200 basi kama mtu alipata 2,000,000 mwaka jana na mwaka huu akapata 2,100,000 kwa kipimo cha $ ya Marekani mwaka huu amepata pungufu, lakini kwa kipimo cha shilingi, uchumi wake umekua.
 
Unajua hawa TRA hawana uelewa wa ukusanyaji mapato au na siasa nayo inachangia! Mimi LA kwangu ni moja tuu, wenzetu wanaojua Maana ya ukusanyaji kodi mara zote wanapigania biashara zifanyike maeneo yaliyotengwa rasmi! Hii inachochea maana kila mfanya biashara anaweza kufikika na kutozwa kodi kwa biashara yoyote anayofanya!
Fikiria sasa imefika mahali wafanya biashara wakubwa (Walio wengi) hawalipi kodi kabisa katika utoaji wa efd receipts! Hii ni aibu hasa kwenye maduka ya spares ! Ninalotaka kusema uwepo wa biashara holela barabarani inachangia kwa kiasi kikubwa ukwepaji wa kodi! Nijiweke wazi mimi dhana yangu ni kila mwenye kipato ni muhimu kuchangia kodi kwa maendeleo ya taifa! Iweje Hawa watu wazuie maeneo yote ya mijini Huku hawalipi kodi!?
Uelewa wako ndo umeishia hapo
 
Ili kukwepa mianya ya ukwepaji kodi,kodi ikusanywe na taasisi moja.(EFD)

Kuanzia julai mosi faini na tozo zote zipate kibali cha EFD.

Wakala wa vipimo,Sumatra,Ewura nao wahahakishe wanatimiza wajibu wao.

Biashara zote zilizofungwa zipewe grace period ya kulipa kidogo kidogo.

Notifications za malipo ziambatane na risiti ya EFD ie faini za makosa barabarani.

Kodi za majengo zilipiwe kodi kwa kadri ya thamani husika.

Malipo yote ya ada za shule,vyuo vya umma na taasisi binafsi zikatwe kodi na mhusika apatiwe risiti ya EFD.

Nauli za vyombo vya usafiri wa nchi kavu,majini na angani ziwe na risiti ya EFD.

Watoaji wa huduma za kitaalamu na ushauri malipo yao yaambatane na risiti ya EFD.

Malipo yote yatokanayo na mauzo/manunuzi ya mazao ya misitu,Maji (samaki,dagaa n.k) na madini (Mchanga,Kokoto, mawe n.k) yawe na risiti ya EFD.
 
Ili kukwepa mianya ya ukwepaji kodi,kodi ikusanywe na taasisi moja.(EFD)

Kuanzia julai mosi faini na tozo zote zipate kibali cha EFD.

Wakala wa vipimo,Sumatra,Ewura nao wahahakishe wanatimiza wajibu wao.

Biashara zote zilizofungwa zipewe grace period ya kulipa kidogo kidogo.

Notifications za malipo ziambatane na risiti ya EFD ie faini za makosa barabarani.

Kodi za majengo zilipiwe kodi kwa kadri ya thamani husika.

Malipo yote ya ada za shule,vyuo vya umma na taasisi binafsi zikatwe kodi na mhusika apatiwe risiti ya EFD.

Nauli za vyombo vya usafiri wa nchi kavu,majini na angani ziwe na risiti ya EFD.

Watoaji wa huduma za kitaalamu na ushauri malipo yao yaambatane na risiti ya EFD.

Malipo yote yatokanayo na mauzo/manunuzi ya mazao ya misitu,Maji (samaki,dagaa n.k) na madini (Mchanga,Kokoto, mawe n.k) yawe na risiti ya EFD.
Lakini ukumbuke "rates" zinazotumika katika ukadiriaji bado ni kitendawili. Ninaamini,kama rates ni fair to both parties yaani mtozaji na mtozwaji,hakuna atakaekwepa kutozwa kodi. Pia ieleweke, mara nyingi,namna kodi inavyotozwa,huonekana ni kwa manufaa ya "mtozaji" na siyo "mtozwaji". Na ndiyo maana siku zote,mtozaji ndiye anayebeba majeshi kukamata na kuhimiza,wakati ilitakiwa isiwe hivyo,bali mnufaika ndiye angekazania! Ni nia njema,mtozaji akakaa karibu zaidi na mtozwaji,wakakubaliana! Ukisema EFD ina manufaa au ufanisi,na anayeletewa naye aongee lugha hiyo hiyo ya ufanisi. Isipokuwa hivyo,unaweza kukuta unabadilisha teknolojia ya ukusanyaji,lakini ngoma inadunda palepale.
 
Lakini ukumbuke "rates" zinazotumika katika ukadiriaji bado ni kitendawili. Ninaamini,kama rates ni fair to both parties yaani mtozaji na mtozwaji,hakuna atakaekwepa kutozwa kodi. Pia ieleweke, mara nyingi,namna kodi inavyotozwa,huonekana ni kwa manufaa ya "mtozaji" na siyo "mtozwaji". Na ndiyo maana siku zote,mtozaji ndiye anayebeba majeshi kukamata na kuhimiza,wakati ilitakiwa isiwe hivyo,bali mnufaika ndiye angekazania! Ni nia njema,mtozaji akakaa karibu zaidi na mtozwaji,wakakubaliana! Ukisema EFD ina manufaa au ufanisi,na anayeletewa naye aongee lugha hiyo hiyo ya ufanisi. Isipokuwa hivyo,unaweza kukuta unabadilisha teknolojia ya ukusanyaji,lakini ngoma inadunda palepale.
Wagawe EFD machine nchi nzima.
Mbona kila MTU anayo simu ya mkononi?
EFD machine isiwekewe mipaka wa kiwango cha anayelipa kodi/mwakilishi wa mlipa kodi.
 
Nimesoma hotuba ya bajeti 2017/2018 nikagundua yafuatayo:-
1. Makusanyo ya fedha za kodi hayakufikia malengo .
2. Biashara elfu 7 hivi zimefungwa,na laki 2 hivi zimefunguliwa.
3. Bajeti ya maendeleo imetekelezwa chini ya 40%.
4. Waziri wa fedha anasema uchumi umekua kuliko huko nyuma.

Sawa ninajiuliza mambo kadhaa kuhusiana na yaliyoelezwa hapo juu.
A. Kama biashara zimefunguliwa nyingi kuliko zilizofungwa,kwa nini makusanyo ni kidogo?

B. Kama uchumi umekua,kwa nini uwekezaji/ utekelezaji miradi ya maendeleo umeshuka kiasi hicho? Nimegundua aidha kuna mahali hapako sawa na maelezo ya hotuba ya bajeti yamefunika jambo na unatakiwa utafiti makini.

Nitaeleza kidogo kwa uelewa wangu.
I) Biashara elfu 7 zilizofungwa,kuna uwezekano zilikuwa na mtaji mkubwa zaidi kuliko biashara laki 2 zilizofunguliwa. Yaani wafanyabiashara wameshift kutoka biashara kubwa kwenda biashara ndogo (umachinga) ambazo kodi hakuna au ni kidogo sana.
II). Uchumi kwa maana ya GDP,umeonekana kukua kutokana na matumizi makubwa yaliyotokana na inflation (dola imepanda mara kadhaa), na uwekezaji umeshuka ( ambapo imejionyesha kwenye bajeti ya miradi ya maendeleo 40%). Na kwa vile uwekezaji umeshuka,hakuna uuzaji mkubwa wa bidhaa nje. Hivyo,ni dhahiri,dhana ya uchumi kukua kunakosemwa kuangaliwe kwa jicho la tatu.

Maoni yangu:-
i). Kiwango cha kodi kinachotozwa wafanyabiashara
/wawekezaji wakubwa na hata wa kati,kiangaliwe upya ikibidi kipunguzwe,ili wengi waingie na kodi ipatikane zaidi.
ii). Mwananchi anayeanza biashara asianze hapohapo kulipa kodi,apewe grace period ya miezi 3 au 6 ndiyo aanze. Hapo nyuma ilikuwa hivyo,na hata nchi jirani kama Zambia (walikokimbilia wengi),wanafanya hivyo. Kwa kufanya hivyo, biashara nyingi na zenye tija zitafunguliwa,mapato yataongezeka.
iii). Maafisa wetu wa TRA,Biashara na BRELA,wasikae tuu maofisini kucheza na kompyuta,wawatembelee /wawekezaji /wafanyabiashara wajue hali zao,watoe elimu nk. Na wasisubiri tu maofisini kuletewa na kupokea barua za kufunga biashara! Na ikitokea eneo fulani,biashara nyingi ziimefungwa,maofisa hawa wawajibishwe.
iv). Ikitokea mfanyabiashara ana deni la kodi,isiwe ni sababu ya kufungiwa au kukamatiwa mali. Zifanyike logical negotiations ikibidi alipe kidogokidogo hadi amalize. Kwa kufanya hivyo,TRA,wataendelea kupata mapato kwa mtu huyu miaka nenda rudi kuliko angefunga.
v).TRA,iwe ni Agency kwa maana ijitegemee. Isibanwe ndani ya Wizara ya Fedha kuepuka wakati mwingine kutumika kisiasa. Ifanye kazi kitaalamu zaidi na autonomously.
Nimekusoma mkuu!
TRA bado ni janga kwa taifa hili! Na huu ndo ukweli. Hawana weledi wala ubunifu katika kukusanya mapato ya kodi. Haiingii akilini kumtoza mtu kodi wakati hata biashara yenyewe hajainza! Huo ni umbumbu uliopitiliza, maana yake unatengeneza mazingira ya watu kufanya biashara zisizo rasimi, hivyo kuikosesha serikali mapato.
 
Lakini ukumbuke "rates" zinazotumika katika ukadiriaji bado ni kitendawili. Ninaamini,kama rates ni fair to both parties yaani mtozaji na mtozwaji,hakuna atakaekwepa kutozwa kodi. Pia ieleweke, mara nyingi,namna kodi inavyotozwa,huonekana ni kwa manufaa ya "mtozaji" na siyo "mtozwaji". Na ndiyo maana siku zote,mtozaji ndiye anayebeba majeshi kukamata na kuhimiza,wakati ilitakiwa isiwe hivyo,bali mnufaika ndiye angekazania! Ni nia njema,mtozaji akakaa karibu zaidi na mtozwaji,wakakubaliana! Ukisema EFD ina manufaa au ufanisi,na anayeletewa naye aongee lugha hiyo hiyo ya ufanisi. Isipokuwa hivyo,unaweza kukuta unabadilisha teknolojia ya ukusanyaji,lakini ngoma inadunda palepale.
Kweli mkuu, ngoma inaweza kudunda kama TRA hatoweza kuwafanya wafanyabiashara kama mawakala wake katika kukusanya mapato. EFD zitawekwa pembeni na hakuna kitakacho kusanywa.

Kwa hiyo, maafisa wa TRA wanawajibika sasa kujenga mahusiano mazuri ya kiutendaji na wafanyabiashara kwa maana ya kuja na mfumo mzuri wa kusajili wafanyabiashara, ukadiriaji sahihi wa kodi, na kuweka kipindi cha mpito kabla ya kuanza kulipa kodi. Hii itawavutia watu wengi kurasimisha biashara zao na hivyo, serikali kupata mapato ya kutosha.
 
Wafanyabiashara ni wajanja xana hasa wa k/ koo, ukinunua bizaa dukani na ukaomba discount ya ulichonunua awakupatii risiti ya efd, na ukiwalazimisha xana watakwambia mashine ya efd inasumbua, wakati mwingine unaambiwa mashine ya efd atujaletewa
 
Kweli mkuu, ngoma inaweza kudunda kama TRA hatoweza kuwafanya wafanyabiashara kama mawakala wake katika kukusanya mapato. EFD zitawekwa pembeni na hakuna kitakacho kusanywa.

Kwa hiyo, maafisa wa TRA wanawajibika sasa kujenga mahusiano mazuri ya kiutendaji na wafanyabiashara kwa maana ya kuja na mfumo mzuri wa kusajili wafanyabiashara, ukadiriaji sahihi wa kodi, na kuweka kipindi cha mpito kabla ya kuanza kulipa kodi. Hii itawavutia watu wengi kurasimisha biashara zao na hivyo, serikali kupata mapato ya kutosha.
Thanks
 
Back
Top Bottom