dyuteromaikota
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 5,905
- 8,245
Malawi wana import Magari kutoka Nchi gani? Na mpaka ifike kwao bei yao inafikia kwacha ngapi kwa Toyota Noah?In EAST AFRICA TZ tunaongoza kwa kodi kubwa ya ku import gari kuna vinchi vya kishamba hawana kodi za kiwehu kama hizo mfano Malawi unaweza agiza gari na kodi ukawa unalipa kidogo kidogo mpaka unamaliza na sio ya kuumizana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi naamini wanatumia bandari ya Dar kwa asilimia kubwa, ila magari yao ya IT (In Transit) yanalipiwa gharama za bandarini tu kodi wanalipia kwao Malawi, kwa hiyo bei ya Noah kwa malawi itategemeana na rate ya importy duty +VAT+Excise duty za Malawi.Malawi wana import Magari kutoka Nchi gani? Na mpaka ifike kwao bei yao inafikia kwacha ngapi kwa Toyota Noah?
Toyota Noah brand new kwacha ngapi Malawi?binafsi naamini wanatumia bandari ya Dar kwa asilimia kubwa, ila magari yao ya IT (In Transit) yanalipiwa gharama za bandarini tu kodi wanalipia kwao Malawi, kwa hiyo bei ya Noah kwa malawi itategemeana na rate ya importy duty +VAT+Excise duty za Malawi.
Mkuu binafsi sielewi, lakini kumbuka ukinunua gari Malawi utalazimika tena kulipia ushuru wa Tanzania wakati wa kuliingiza gari lako Tanzania. Sidhani kama utakuwa umeokoa kitu! Ngoja wataalamu waje watoe uzoefu wao.Toyota Noah brand new kwacha ngapi Malawi?
Huwa hawashushi ila wanaongeza tu, Kuna gari inauzwa dola 4000 C&F wao kodi wameiandikia 17,500,000 M,na ni gari ya mwaka 2010Any updates?
Umefika wakati wafanya tathmini ya hizi kodi! Hivi wakipunguza kodi sana na watu wakanunua magari mengi si bado watapata fedha toka kwenye kodi inayolipwa mojamoja wakati wa kununua mafuta (diesel na petrol)?Huwa hawashushi ila wanaongeza tu, Kuna gari inauzwa dola 4000 C&F wao kodi wameiandikia 17,500,000 M,na ni gari ya mwaka 2010
Hawajawahi kuwaza mambo mazuri hata siku moja, kazi yao huwa ni kukomoa na kupata kidogoUmefika wakati wafanya tathmini ya hizi kodi! Hivi wakipunguza kodi sana na watu wakanunua magari mengi si bado watapata fedha toka kwenye kodi inayolipwa mojamoja wakati wa kununua mafuta (diesel na petrol)?