jeipm
JF-Expert Member
- Sep 28, 2018
- 500
- 820
Pumbu Sana weweTulipe Kodi kwa maendeleo ya nchi
Pumbu Sana weweTulipe Kodi kwa maendeleo ya nchi
Miaka hamsini tumeshindwa kuendelea, hizi nauli zilizotumwa na yakutolea ndio nchi itaendelea? Athens upumbavuTulipe Kodi kwa maendeleo ya nchi
Hivi hii kodi ya majengo ni mpya au ilikuwepo? Mimi naona kilichobadilika ni namna ya ulipaji na kutoka 10,000 mpaka 12,000 kwa mwaka. Tujiulize kwenda kupanga foleni TRA ili ulipe 10,000/- na kulipa 12,000/- kupitia manunuzi ya Luku kipi kina rahisisha maisha? Wabongo tunapenda sana kulalamika.
Daaah .... Hakika They(and u specific) dont care about US vibwagizo cha MJ kikufikie popote ulipo.Hivi hii kodi ya majengo ni mpya au ilikuwepo? Mimi naona kilichobadilika ni namna ya ulipaji na kutoka 10,000 mpaka 12,000 kwa mwaka. Tujiulize kwenda kupanga foleni TRA ili ulipe 10,000/- na kulipa 12,000/- kupitia manunuzi ya Luku kipi kina rahisisha maisha? Wabongo tunapenda sana kulalamika.
Mi huwa nashangaa sana. Kila kitu tunalalamika, ukiuliza buku kwa mwezi. Usenge tupu, sijui tunadhani maendeleo yanapatikana bila kodiHivi hii kodi ya majengo ni mpya au ilikuwepo? Mimi naona kilichobadilika ni namna ya ulipaji na kutoka 10,000 mpaka 12,000 kwa mwaka. Tujiulize kwenda kupanga foleni TRA ili ulipe 10,000/- na kulipa 12,000/- kupitia manunuzi ya Luku kipi kina rahisisha maisha? Wabongo tunapenda sana kulalamika.
Wewe PIMBIAisee, ujue zimerahisisha sana Kibiashara, wale wafanya biashara wanajua faida yake, wewe kaa kimya mkuu!
Ukienda ukailipa taslimu .... Ukaifuta hiyo 12,000 inakuwaje baadaye!!??Mi huwa nashangaa sana. Kila kitu tunalalamika, ukiuliza buku kwa mwezi. Usenge tupu, sijui tunadhani maendeleo yanapatikana bila kodi
manina miaka 60 ya uhuru maendeleo mumeshindwa kuleta 2025 tunawatoa kwa nguvu,Mi huwa nashangaa sana. Kila kitu tunalalamika, ukiuliza buku kwa mwezi. Usenge tupu, sijui tunadhani maendeleo yanapatikana bila kodi
kwakweli watu wanapenda Sana kulalamika
Tatizo kubwa ni hata hao wanao ibiwa wamekubali kuibiwa.Kama itakuwa kila mita inahesabika iko kwenye jengo linalojitegemea! basi huu utakuwa ni wizi wa Serikali kwa wananchi wake!
TRA washatoa ufafanuzi. It's over....tutafute issue nyingine ya kuhangaika nayo kama kawaida.Wewe hujaelewa point ya mtoa mada na issue sio kutokulipa
Point ni je nyumba zetu za kupanga ndani kuna mita 6 ni sawa kulipia zote 6 wakati ni nyumba moja utofauti ni wapangaji??
Ukipata jibu jifikirie upya
Unaweza ukauelezea upimbi wangu?Wewe PIMBI
Nani amekwambia waziri halipi kodi? Au mbunge halipi kodi?Wana kila sababu ya kulakamika. Kwanini Wabunge, Mawaziri na Rais hawalipi kodi? Kwanini wizi, ufisadi na ubadhirifu unaoandikwa kila mwaka katika ripoti za CAGs hakuna anayewajibishwa? Kwanini ndani ya miaka 60 ya nchi tajiri mikopo na misaada ya trillions hatuna chochote kile cha kujivunia? Kwanini huduma zetu zote muhimu elimu, afya, umeme, maji safi, usafiri ni za hovyo? Kwanini hakuna ajira hata kwa graduates? Kwanini hawa Wabunge, Mawaziri na Rais wanaishi maisha ya matanuzi makubwa bila kuona uchungu wa pesa za walipa kodi!?
Kila mtu ana matumizi yake, haiwezekani kuchangia mita moja na mtu anayechomelea mageti wakati wewe una friji tuu.Si uondoe hizo mita ubakiwe na moja kama nyumba ni moja
Hapo sasa itakuwa ni jengo la biashara na kodi ya jengo la biashara ni kubwa. Hivyo kuwa na meter za luku nyingi na kulipa zaidi ni sawa.Kila mtu ana matumizi yake, haiwezekani kuchangia mita moja na mtu anayechomelea mageti wakati wewe una friji tuu.
Kwa sisi tunaoishi mitaani Kuna nyumba za kawaida tuu Ila Kuna mafundi wanajitafutia riziki zao kwa kufanya uchomeleaji. Halafu nyumba Ina wapangaji wa kawaida tuu. Kuchangia mita moja Ni shida.Hapo sasa itakuwa ni jengo la biashara na kodi ya jengo la biashara ni kubwa. Hivyo kuwa na meter za luku nyingi na kulipa zaidi ni sawa.