- Thread starter
- #61
Mkuu, ungelimaza kwanza kufanywa...halafu ndio ukasoma na kisha ukachangi, sikulaumu kwa sababu umekali...aMtoa mada ni kilaza na hajafatilia hizo kodi, alichojua yy ni kuamka na kupost ushuzi. Yaan wewe mpumbavu ujue kuwa kuwa kuna mita nyingi za Luku alafu watu wanaodrive nchi wasijue?