Anko Sam
JF-Expert Member
- Jun 30, 2010
- 3,200
- 820
Wao wanadhani Tz ni Dar es Salaam tu, wanasahau kwamba kule vijijini hata hizo barabara tu ni shida achilia mbali magari. .... sio kwamba hapa Tz tuna kiwanda cha kutengeza magari ambacho tunakilinda. Hawa watu ni majuha sana.
Sijaelewa kama hawa walibuni utumbo huu ni wanauchumi wa ukweli! Yaani kwao Tanzania ni Dar peke yake, kuwakomoa watu wa Dar ina affect nchi nzima. Huu ni ujuha nambari wani. Tanzania hakuna kiwanda cha magari tunachokilinda, sasa kuweka mfumo huu ni kwa faida ya nani?
Kitilya na TRA yake wajivue gamba la kutumikishwa na wanasiasa.
,