Jamani kuna hili swala la kulipia road licence za magari na fire extinguisher.kama gari inalipiwa 200,000.unaongeza na 30,000.hizi fedha jamaa wanachukua na kifaa cha kuzimia moto hawakupi na ukikutana na jamaa wa Fire ni tabu tena wanataka kuona kifaa na kama umenunua kienyeji unalipa fine.huu si wizi jamani?