getrusa
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 2,150
- 1,812
Wadau ninaurudisha tena uzi huu hapa kwenu jamvini huu
Ukwepaji kodi wa wazi kabisa unaofanywa na wafanyabiashara wa kariakoo TRA wanahusika?
Karibu wafanyabiashara wote kariakoo hawatoi risiti za thamani inayofanana na pesa iliyolipwa kwa mzigo husika. Ukiuliza utaambiwa hiyo ni risiti ya kukusaidia njiani tu, kama huwezi rudisha mzigo.
Ukinunua bidhaa zenye thamani ya laki mbili tatu ama tano bado risiti utakayopewa inaweza isizidi thamani ya tsh 40,000.
je hili hamlioni? Ni kweli hamna uwezo wa kufanya uchunguzi? Au nanyi ni wahusika wa uhalifu na ukwepaji huu..?
Mchezo huu upo sana kwa wateja wanao nunua mizigo kwa jumla, hili suala linakera sana kama tumeamua kujenga Taifa letu kila mtu atimize wajibu wake sio mimi nikupe milioni halafu wewe unipe risiti ya 50000.. hili sio sawa TRA timizeni wajibu wenu.
Ukwepaji kodi wa wazi kabisa unaofanywa na wafanyabiashara wa kariakoo TRA wanahusika?
Karibu wafanyabiashara wote kariakoo hawatoi risiti za thamani inayofanana na pesa iliyolipwa kwa mzigo husika. Ukiuliza utaambiwa hiyo ni risiti ya kukusaidia njiani tu, kama huwezi rudisha mzigo.
Ukinunua bidhaa zenye thamani ya laki mbili tatu ama tano bado risiti utakayopewa inaweza isizidi thamani ya tsh 40,000.
je hili hamlioni? Ni kweli hamna uwezo wa kufanya uchunguzi? Au nanyi ni wahusika wa uhalifu na ukwepaji huu..?
Mchezo huu upo sana kwa wateja wanao nunua mizigo kwa jumla, hili suala linakera sana kama tumeamua kujenga Taifa letu kila mtu atimize wajibu wake sio mimi nikupe milioni halafu wewe unipe risiti ya 50000.. hili sio sawa TRA timizeni wajibu wenu.