malisoka
JF-Expert Member
- Jul 8, 2012
- 1,860
- 2,637
Wana JF, Mimi nanafuatilia sana maendeleo ya nchi yetu inayokuwa kiuchumi wa 7% kwa mwaka. Hiv mapato ya serikali ya Oct, Nov vipi? wenzangu mmesikia yametangazwa?
Ni haki yangu kikatiba kujua mapato na matumizi ya kodi ninazotoa kwa serikali.
Naomba mnijuze wakuu.
Au ilikuwa Nguvu ya soda ile.
Ni haki yangu kikatiba kujua mapato na matumizi ya kodi ninazotoa kwa serikali.
Naomba mnijuze wakuu.
Au ilikuwa Nguvu ya soda ile.