Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 58,771
- 78,446
Hakuna kupitisha fedha za Watanzania KCB hata Mo ananibore kuweka account za simba KCB! Ni ushenzi!Tuna safari ndefu sana. Mabenki ni wakusanyaji tu wa mapato ya TRA yanayopelekwa BoT. Huko kwenye taasis za kifedha zinapita tu.
Hapo chini kwenye kiambatanishi inasoma malipo yanaenda kwa:-
Commissioner of customs and excise
TRA
BoT
Sasa hapo KCB analaumiwa kwa lipi?
Tukiambiwa malipo yote yafanyike kwa bank moja hizo foleni na ucheleweshwaji tutauvumilia?
Kama sijaelewa vizuri naomba kueleweshwa.