FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,039
- 40,700
Hivi umeshawahi kufanya biashara hata ya mkaa tu?Lipa kodi yao. Hutasumbuliwa.
Hivi umeshawahi kufanya biashara hata ya mkaa tu?Lipa kodi yao. Hutasumbuliwa.
Nina mini supermarket.Hivi umeshawahi kufanya biashara hata ya mkaa tu?
I'm sorry.Ndugu yangu kuwa na roho ya nyama,hawa walipa kodi kidogo waliopo nchini wanahitaji utu,ni binaadamu ndugu yangu?lazima pawepo na urafiki kati ya mlipa kodi,na mtoza kodi,lkn usisahau mm nawazungumzia wafanyabiashara wa ngazi ya chini wenye maduka mtaani ndio wanakutana na hizo faini ndugu yangu
Utawala wa Bashite wala sishangai.Leo wakiongozana na viongozi wa kisiasa hapa Iringa wamevamia duka la mfanyabiashara mmoja wakiwa na askari kadhaa wenye bunduki. Sasa unajiuliza haya mabunduki ni ya nini kwenye kukusanya kodi?
Hata kama una mashine ya efd,imeharibika na taarifa umetoa kwa maandishi tra ukikutwa hutumii mashine ya efd unapigwa faini milion 3 taka usitake,wanatumia kauli ya hapa kazi tu@lendile unamaanisha nini ukisema faini ya 3? Kwa kosa gani?
Ukipigwa faini milion 3 ukitaka usilipe inabidi utowe rushwa ya sh milion moja au lk 8 tutafika kweli?
Ili wapandishwe VYEO ..wewe hujui staili ya kupandishwa cheoLeo wakiongozana na viongozi wa kisiasa hapa Iringa wamevamia duka la mfanyabiashara mmoja wakiwa na askari kadhaa wenye bunduki. Sasa unajiuliza haya mabunduki ni ya nini kwenye kukusanya kodi?
Mashine zenyewe mbovumbovu sana yaani ni usumbufu tu.TRA irudishe mfumo wa sales tax kwa kila mfanyabiashara apangiwe kwa mwezi atoa kiasi gani kama kodi ya mauzo.
EFDA Machine ni usumbufu na imeongeza masuala rushwa kwa watumishi wa TRA Kodi za Ndani
Fanya hesabu kama kila mfanyabiashara mdogo atatoa sh 20000 kwa mwezi kama kodi ya mauzo Fixed serikali itapata shilingi ngapi
Serikali ipange maduka kwa madaraja iwepo Class A Class B Class C Class D na hizo kodi za sales tax zitolewee kufuatana na mtaji/aina ya biashara na iwepo kitengo cha Investigation kuchunguza ulipaji wa kodi unakuwa sahihi. Hapo bado serikali itawekea kiwango cha kutoza gari za biashara pia kila mwezi.
EFDA Machine ni hasara kwa serikali na wafanyabiashara.
Kiongozi gani huyo wa kisiasa anaeenda kukusanya kodi?/tueleze uzuri...mtajeLeo wakiongozana na viongozi wa kisiasa hapa Iringa wamevamia duka la mfanyabiashara mmoja wakiwa na askari kadhaa wenye bunduki. Sasa unajiuliza haya mabunduki ni ya nini kwenye kukusanya kodi?
Mkuu wa Wilaya ya Iringa!Kiongozi gani huyo wa kisiasa anaeenda kukusanya kodi?/tueleze uzuri...mtaje