lendila
JF-Expert Member
- Sep 26, 2012
- 5,806
- 4,370
TAR kwanini mnawanyanyasa wafanyabiashara kiasi hicho? Kama kuna mfanyabiashara ambaye hana ugojwa wa moyo kwa sasa hivi nchini Tanzania sijui!
Ni kosa gani kubwa kiasi hicho wafanyabiashara wa nchi hii wamekosa? TRA kwa sasa ni mwendo wa faini ya 3 ama ufilisiwe tu, hakuna maelezo mengine, ukitaka lipa hutaki biashara inafugwa,hakuna maelezo, ukipigwa faini unapewa siku 7 tu ulipe, huna pesa utajuta kuzaliwa
Mh. Waziri wa fedha ni nini hiki? Damu zinavujia tumboni kwa wafanyabiashara tatizo liko wapi?Kama kuna makosa mtusamehe, la sivyo nchi hii itabaki na masikini tupu
Ni kosa gani kubwa kiasi hicho wafanyabiashara wa nchi hii wamekosa? TRA kwa sasa ni mwendo wa faini ya 3 ama ufilisiwe tu, hakuna maelezo mengine, ukitaka lipa hutaki biashara inafugwa,hakuna maelezo, ukipigwa faini unapewa siku 7 tu ulipe, huna pesa utajuta kuzaliwa
Mh. Waziri wa fedha ni nini hiki? Damu zinavujia tumboni kwa wafanyabiashara tatizo liko wapi?Kama kuna makosa mtusamehe, la sivyo nchi hii itabaki na masikini tupu