Wakuu nimepitia tovuti ya TRA nikakuta fomu ya Kuboresha Taarifa za Mlipa Kodi, sasa humo ndani wantaka utoe details zako kama UMEOA ama bado, una akaunti wapi (benki gani, Jina la benki, tawi, namba ya akaunti, jina la akaunti na kama akaunti ni Local/ Foreign Currency!!.
MASWALI:
1. Hizi details mnataka kuzipeleka wapi kwa mtu (binafsi) ambaye anaboresha taarifa zake? na wala hafanyi biashara?
2. Nina uhakika gani nikitoa taarifa hizi kuwa zitakuwa salama, na hazitadukuliwa na wahalifu?
3. Hali yangu ya NDOA (Married/Single/Divorced) inahusiana vipi na mambo ya KODI?
** Ningeshauri hebu pitieni upya hiyo fomu kuondoa baadhi ya maswali ya kutaka details nyiingi za mlipa kodi, maana kwa namna hii ama watu watadanganya kwa kuweka taarifa za uongo au hawataboresha kabisa hizo taarifa hivyo mtakosa mapato.
NB: Nimeambatanisha na fomu husika.
MASWALI:
1. Hizi details mnataka kuzipeleka wapi kwa mtu (binafsi) ambaye anaboresha taarifa zake? na wala hafanyi biashara?
2. Nina uhakika gani nikitoa taarifa hizi kuwa zitakuwa salama, na hazitadukuliwa na wahalifu?
3. Hali yangu ya NDOA (Married/Single/Divorced) inahusiana vipi na mambo ya KODI?
** Ningeshauri hebu pitieni upya hiyo fomu kuondoa baadhi ya maswali ya kutaka details nyiingi za mlipa kodi, maana kwa namna hii ama watu watadanganya kwa kuweka taarifa za uongo au hawataboresha kabisa hizo taarifa hivyo mtakosa mapato.
NB: Nimeambatanisha na fomu husika.