Kaya Nogu Sabho Ndamu
Member
- Sep 4, 2016
- 44
- 28
Leo ni mara ya tatu kununua vitu kariakoo na kupewa risiti ambayo haionyeshi makato ya TRA au VAT. Ukinunua kitu chochote unapewa risiti ila haina makato hata kidogo.
Nilipo wauliza mbona haionyeshi makato ya serikali wakajibu eti mashine zao zimesamehewa mpaka mwaka ujao wa fedha ndio zitaanza kuonyesha makato ya serikali. Nikawambia akisikia neno hilo Raisi Magufuli anaweza kulia hazalani.
Hata humu tunaibiana?. Kodi zetu wenyewe? achana na madini, hata kariakoo.?. Siku nyingine nilienda kwenye supermarket ninunua bidhaa nilipo omba risiti wakasema machine zao hazifanyi kazi, nilishangaa sana. Au kuna mtu anamtandao wa wizi??
Nilipo wauliza mbona haionyeshi makato ya serikali wakajibu eti mashine zao zimesamehewa mpaka mwaka ujao wa fedha ndio zitaanza kuonyesha makato ya serikali. Nikawambia akisikia neno hilo Raisi Magufuli anaweza kulia hazalani.
Hata humu tunaibiana?. Kodi zetu wenyewe? achana na madini, hata kariakoo.?. Siku nyingine nilienda kwenye supermarket ninunua bidhaa nilipo omba risiti wakasema machine zao hazifanyi kazi, nilishangaa sana. Au kuna mtu anamtandao wa wizi??