Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,587
- 22,185
Withholding Tax ni kodi anayolipishwa mpangaji kwa niaba ya mwenye nyumba kwa kigezo cha urahisi wa kuikusanya kupitia mpangaji!
Na TRA ikimshauri mpangaji amdai mwenye nyumba ili amrejeshee alicholipa! Je, hili linawezekana? Hapana, huku ni kuporwa kwa kulazimishwa.
TRA inapokuja na kauli tata kuwa mwenye nyumba alipie kodi ya jengo kwenye nyumba anayaishi mpangaji na huenda ni serikali ndiye mwenye nyumba!
Utata mwingine, mpangaji atanunua umeme na kutozwa hiyo kodi, je serikali itamrudishia pesa yake? Na kama TRA inavyodai alipe mwenye nyumba kwanini isidai pia Withholding Tax alipe mwenye nyumba badala ya kumtwisha mzigo mpanganji?
Na TRA ikimshauri mpangaji amdai mwenye nyumba ili amrejeshee alicholipa! Je, hili linawezekana? Hapana, huku ni kuporwa kwa kulazimishwa.
TRA inapokuja na kauli tata kuwa mwenye nyumba alipie kodi ya jengo kwenye nyumba anayaishi mpangaji na huenda ni serikali ndiye mwenye nyumba!
Utata mwingine, mpangaji atanunua umeme na kutozwa hiyo kodi, je serikali itamrudishia pesa yake? Na kama TRA inavyodai alipe mwenye nyumba kwanini isidai pia Withholding Tax alipe mwenye nyumba badala ya kumtwisha mzigo mpanganji?