wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,131
Kwako Comm Gen Phd Mhede,
Hii ofisi yetu siye walipa kodi wa Kimara inatukwaza sana.
Kwanza njia ya kuelekea ilipo ofisi za TRA Kimara ni chafu, mbaya madimbwi ya maji n.k
Pili ofisi yenyewe unapoingia getini ni mteremko mkali ambao unaweza leta ajali kwa sie walipa kodi hivyo tukapeleka kodi kwenye matibabu.
Ombi kwako, toa maelekezo ofisi hiyo iwekwe sehemu bora na salama kwa wateja.
Vinginevyo nawapongeza walipakodi wa Kimara kwa kutimiza wajibu zao.
Nawapongeza pia wetendaji wa ofisi ya TRA kimara kwa kujitahidi kutoa huduma nzuri.
Pamoja tunajenga Taifa letu.
Hii ofisi yetu siye walipa kodi wa Kimara inatukwaza sana.
Kwanza njia ya kuelekea ilipo ofisi za TRA Kimara ni chafu, mbaya madimbwi ya maji n.k
Pili ofisi yenyewe unapoingia getini ni mteremko mkali ambao unaweza leta ajali kwa sie walipa kodi hivyo tukapeleka kodi kwenye matibabu.
Ombi kwako, toa maelekezo ofisi hiyo iwekwe sehemu bora na salama kwa wateja.
Vinginevyo nawapongeza walipakodi wa Kimara kwa kutimiza wajibu zao.
Nawapongeza pia wetendaji wa ofisi ya TRA kimara kwa kujitahidi kutoa huduma nzuri.
Pamoja tunajenga Taifa letu.