TRA Kariakoo (Kipata/Lumunba) imekuwa kero kwa wenye magari madogo ya mizigo. Mamlaka imulike wafanyakazi wa pale waache hii tabia ya ovyo

Unatakiwa wewe unaebeba mzigo ujiridhishe kwamba mzigo umelipiwa kodi zote stahiki.

Kubeba mzigo ambao hauna risiti zote na wewe unakua umekubali hatari ama risk inayotokana na kuubeba huo mzigo.

Ni sawa useme ubebe mtu na bangi ama cocaine halafu ukamatwe useme wakuachie gari yako waende na mwenye mzigo. Pale wote nyie ni wauza madawa ya kulevya. Maana yake unakua umesaidia mtu kutenda kosa, aiding and abetting.

Ili kuepuka kosa la aiding and abetting, hakikisha mzigo unaouchukua uko clear, sio magendo ama madawa ya kulevya maana TRA wakikukamata wanasema unasafirisha magendo ama mzigo usiolipiwa kodi inakua wewe huna cha kujitetea.

Hili liko wazi mkuu sio lazima usome PGO.
Mbona wanaokamatwa na madawa ya kulevya airpot ndege walizopanda hasizishikiliwi...
 
Kwa ujumla TRA KIPATA Kuna shida Sana ubabe nauadilifu umekuwa zero. Kodi Za kubambika tu kisa Kkoo. Lakini zoezi la kukamata mizigo liwe na ustaarabu kwani ukimkamata Dereva Kirikuu na mzigo wa Mmakonde na yupo wa Kirikuu aondoke pia mtakuwa mmetoa nafasi Kwa watu wengine kupata huduma pale KIPATA
 
Kwa ujumla TRA KIPATA Kuna shida Sana ubabe nauadilifu umekuwa zero. Kodi Za kubambika tu kisa Kkoo. Lakini zoezi la kukamata mizigo liwe na ustaarabu kwani ukimkamata Dereva Kirikuu na mzigo wa Mmakonde na yupo wa Kirikuu aondoke pia mtakuwa mmetoa nafasi Kwa watu wengine kupata huduma pale KIPATA
 
Unatakiwa wewe unaebeba mzigo ujiridhishe kwamba mzigo umelipiwa kodi zote stahiki.

Kubeba mzigo ambao hauna risiti zote na wewe unakua umekubali hatari ama risk inayotokana na kuubeba huo mzigo.

Ni sawa useme ubebe mtu na bangi ama cocaine halafu ukamatwe useme wakuachie gari yako waende na mwenye mzigo. Pale wote nyie ni wauza madawa ya kulevya. Maana yake unakua umesaidia mtu kutenda kosa, aiding and abetting.

Ili kuepuka kosa la aiding and abetting, hakikisha mzigo unaouchukua uko clear, sio magendo ama madawa ya kulevya maana TRA wakikukamata wanasema unasafirisha magendo ama mzigo usiolipiwa kodi inakua wewe huna cha kujitetea.

Hili liko wazi mkuu sio lazima usome PGO.
Mkuu hii si sawa. Mbona wanapokamata mtu mwenye madawa ya kulevya airport hawarudi nyuma na kuikamata ndege iliyomleta?
Mimi kama kazi yangu ni kuendesha gari yanihusu nini mimi bei za vitu huko kariakoo? Je kuna bei elekezi ambayo na mimi mwenye gari nimepewa ili tuseme niangalie nijue risiti ya mteja imechakachuliwa?
Huu ni uonevu tu hakuna jina lingine hapa juu hiki wanachofanyiwa wenye magari.
 
Back
Top Bottom