Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Ndiyo maana mwisho wa siku aliamua kurudi kwenye familia yake aliyo izoea.Ni Kama kusema Wezi/makahaba/Majambazi wote utawakuta wanamba kwaya kanisani, Kama Nasari alivyokuwa Chadema pasipo usafi wa kudumu chamani.
Maana ndege wa rangi moja huruka pamoja