Wadau wenzangu,nimekua nikifuatilia TIN hapa tra kwa muda wa wiki moja saiv kila siku imekua njoo leo njoo kesho,mara mtandao upo down mara bosi hayupo. Ila leo naona wameamua kunitolea uvivu na kuniomba rushwa wazi wazi. Sasa jamani kama kupata TIN number tu naomba rushwa je ikifika ktk kulipia kodi yenyewe itakuaje??
Nazan mwanasiasa na tra management inabidi wafanye kitu kuhusu hili suala maana kama mambo yenyewe ndo hivi izo target zao za kila mwezi zitakua hazitimii kila mwezi,kama trend zinavyoonyesha saiv
Nazan mwanasiasa na tra management inabidi wafanye kitu kuhusu hili suala maana kama mambo yenyewe ndo hivi izo target zao za kila mwezi zitakua hazitimii kila mwezi,kama trend zinavyoonyesha saiv