Wakati TRA ikiongoza kwa kulipa wafanyakazi wake mishahara mizito, lmebainika kwamba Malaka hii inaongoza kwa rushwa nchini. Wafanyakazi wa TRA wamejenga majumba ya kufuru ambayo hayaendani na mishahara yao.
Tunaomba viongozi wa juu wa idara hii kuwachunguza watendaji wao mali walizokuwa nazo kama zinaendana na vipato vyao.
Tunaomba viongozi wa juu wa idara hii kuwachunguza watendaji wao mali walizokuwa nazo kama zinaendana na vipato vyao.