Mtanzania Mzawa
JF-Expert Member
- Jul 2, 2017
- 401
- 405
All in all mambo yatakaa sawa ila nchi ipo mikono salama haipo kwenye Genge la wezi tena...Gape la kipato limepungua na linaelekea pazuri..hamjiulizi kwanini watu hawagawi mamilion kwenye Band na kuimbwa kwenye Band... tatizo Watanzania wengi wapo kama Bundi hawajui wanachotaka tulitaka Rais wa kudhibiti wezi sasa kapatikana bado hatuishi kulalamika dawa yetu ni kulazimishwa kunywa maji tu cz hatujui tunachotaka. ..Utawala umebadilika na utaratibu wa ujanja ujanja umefutwa sasa Watanzania wengi hususani waliokua wananufaika na mirija ya wizi hawataki kukubali matokeo. ..nawaambia mtabadilika tu baba akiamua mabadiliko kwa nia njema lazima familia ifate tu ata kama mama au baadhi ya watoto hawataki. ..Baadhi ya Watanzania wamebaki kulalamika hawajui wanachotaka hakuna mabadiliko yasiyo na impact/madhara mazuri au mabaya ya mda mfupi.. Mliomba mabadiliko sasa mnalalamika.. any Organisation change ina impact zake za mpito. ..ukifuatilia kwa undani wote wanaoiombea mabaya serikali wamekatiwa wao au ndugu zao mirija yao ya deal/wizi...watu watapga dili adi lini ebu wahurumien Watanzania Maskini na ipendeni Nchi yenu kama Waisrael walivyo Tayari kwa chochote ili kulinda nchi yao
GO JPM..GOD BLESS YOU JPM ...GOD BLESS TANZANIA
GO JPM..GOD BLESS YOU JPM ...GOD BLESS TANZANIA