TRA imeendelea kuvunja Rekodi ya Makusanyo kwa mwezi?

Ndiyo wanataka kutuaminisha hivyo maana biashara nyingi nchini zimedoda kutokana na sera MUFILISI za dhalimu.

Nilimuona lakini sikumwelewa. Kwani kodi ya Tanzania nzima inakusanyiwa Bandarini? Yaani kuwa Profesa tanzania ni kuwa hujui kitu hata kama kinahusu fani yako?
 
Ni mkurupukaji mwingine huyu! Badala ya kukaa na management ya TPA kujua nini ni chanzo cha mapato kushuka kaja na ideas zake ambazo hazina ushahidi wowote ule. Kama biashara zimedoda nchini Watanzania hawaagizi bidhaa toka nje kama ilivyokuwa kabla lakini yeye hataki kulikubali hili.

Niliona ile nikashangaa sana ! Mpango anataka kulazimisha makusanyo !
 
Ni mkurupukaji mwingine huyu! Badala ya kukaa na management ya TPA kujua nini ni chanzo cha mapato kushuka kaja na ideas zake ambazo hazina ushahidi wowote ule. Kama biashara zimedoda nchini Watanzania hawaagizi bidhaa toka nje kama ilivyokuwa kabla lakini yeye hataki kulikubali hili.
Sura yake ilionyesha waziwazi kwamba hali ni mbaya sana .
 
Ndugu zangu mbona mu wepesi wa kujisahaulisha hivyoo,si nyie mwaka mmoja uliopita mlisema haya mapato yatarudi kulekule kwenye bil.900+ kama enzi za JK??

Labda tuwaulize kwanza yameshuka chini ya tri.tangu JPM aingie madarakani??
Kilichoulizwa YANATANGAZWA?SIO IMEKUSANYWA KIAS GANI?
 
Kumbuka Mawaziri wapumbavu Mkuu. Huyu bila shaka ni mmoja wao.
_20170924_222327.JPG
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mapato ni lazima yatakuwa yameongezeka tena sana. Hizi fine zote za barabarani unafikiri hazijaongeza kitu? Zitakuwa zimeongeza sana.
 
Kama magufuli jana anadai akati anaingia madarakani sukari ilikuwa 5000 sasa hivi imeshuka wakati ukweli tunaujua...what do u expect kwenye takwimu za t.r.a c wanaweza kukwambia wamekusanya trilioni 50 ndani ya mwezi mmoja
Jakaya sijui atakuwa amejisikiaje kwa ile kauli. Jamaa kila kitu anamsingizia Jakaya
 
Wale wa buku saba watakuja kukushambulia kesho Jumatatu. Leo ni Jumapili, wanaokwenda Lumumba ni wachache na isitoshe yule mama anayewaletea supu uwa hafanyi biashara Jumapili.Ila yule dada wa chapati huyo Jumapili bado anawapelekea. Subiri Kesho Jumatatu asubuhi watakutusi.
 
Uchumi unapanda vipi wakati wanakusanya kodi kwa wamachinga ambao wanatoa ushuru na kuwafanya watu wabadili mtindo wa biashara sasa mfano Kariakoo unakuwa na store halafu unakuwa na kijisehemu unamwaga mzigo kama Chinga unapiga pesa unatoa ushuru wao siku zinasonga..kiufupi TRA mapato yamepungua anayebisha aendelee kubisha.
 
Mimi kama mlipa kodi (Hata kama ni mdogo) nilifurahi sana mwanzo mwa utawala huu wa awamu ya Tano TRA walipokuja na aina ya uwazi katika kutoa ripoti ya makusanyo ya Kodi kwa mwezi. Na nilifurahi zaidi pale walipovunja rekodi na kufikia kukusanya kodi hadi kufikia Trilioni Moja na pointi tatu.

Nina imani sasa inawezekana wamefikia labda kukusanya trilioni moja na pointi saba kwa mwezi kwa jinsi ukuaji uchumi ulivyo. Ni vizuri kama TRA wakiendelea na mtindo wao ule wa kuita waandishi wa habari na kuwapa ripoti ya makusanyo ya kodi kwa mwezi kama walivyokuwa wanafanya hapo awali!
Zilikuws janja za welcome first year
 
Back
Top Bottom