Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 2,584
- 4,264
Kwa ajili ya kufufua shirika letu la posta
Napendekeza kuwe na mfumo rahisi na unaoeleweka wa ukokotoaji wa gharama za kupitisha parcel ndogo ndogo mf:
Mtu akiagiza simu moja kwa ajili ya matumizi alipie gharama za posta na 18% VAT kusiwe na gharama nyingine
Kwa sasa unaweza kutumiwa/Kununua raba, za dola 20 uambiwe unadaiwa Kodi ya shs 50,000 hadi shs 100,000 hivi, sijui wanatumia formula gani.
Nafikiri huu utaratibu unaendelea kulidumaza shirika la posta na mwisho wake litaishia kuendeshwa kwa ruzuku au lifilisike kabisa
Napendekeza kuwe na mfumo rahisi na unaoeleweka wa ukokotoaji wa gharama za kupitisha parcel ndogo ndogo mf:
Mtu akiagiza simu moja kwa ajili ya matumizi alipie gharama za posta na 18% VAT kusiwe na gharama nyingine
Kwa sasa unaweza kutumiwa/Kununua raba, za dola 20 uambiwe unadaiwa Kodi ya shs 50,000 hadi shs 100,000 hivi, sijui wanatumia formula gani.
Nafikiri huu utaratibu unaendelea kulidumaza shirika la posta na mwisho wake litaishia kuendeshwa kwa ruzuku au lifilisike kabisa