Ajali kazini, potezea,usingedakwa usingekuja toa uziWaliniambia risiti mpaka pesa ipelekwe Bank ionekane ndio wanaprocess order,na kwa sababu nilikua na haraka na vile jamaa zangu wengine wanafanya nao biashara sikuwa na wasiwasi wowote.
Hayana warantiiNyie wababaishaji sana.
Matairi yenu ni feki,nimenunua matairi yamekaa siku mbili tu yakabasti yote.
Me nashauri sio TRA tu wawashughulike,hata TBS nao wawashughulikie.
Halafu hamna customer care nzuri kabisa,kuanzia huyo meneja wenu mpaka wafanyakazi wa chini.wote zero brain.
View attachment 2034980
View attachment 2034981
View attachment 2034982
Mtu wao wa sales alinidanganya wanatoa warranty ya mwaka mmoja,yalivyopasuka nikamjulisha lakini na yeye hana customer care nzuri anamjibu mteja kama wana ugomvi,baada ya kumbana sana kuwa nitampeleka polisi ndio akanielekeza niyarudishe pale kwenye kaofisi kao mikocheni.ndio nikalikuta hilo limeneja lao,wacha linijibu utumbo.lile lijamaa nina wasiwasi hata na uraia wake.kama sio likenya basi ni jitu la Burundi huko.Hayana warantii
1.kampuni yenu mnalipa kodi stahiki kwa serikali?Taarifa hii haina ukweli, taarifa za kuchafua kampuni au wafanyakazi kwa makusudi binafsi si tabia nzuri na inaleta mijadala isiyo na afya. maana hakuna mteja wa Mwanza aliyehudumiwa siku hiyo na kupewa receipt inayoonekana kufojiwa sahihi ya mfanyakazi wa Kampuni ya Hiview, kughushi sahihi ya mtu ni kosa kisheria, anaefanya hivi anakosea, hakuna malipo yaliyopokelewa kwa utaratibu ambao ofisi inautumia.
Kitabu cha risiti kilichoambatanishwa sahihi yake imeghushiwa na si risiti ya kuuzia bidhaa, ni risiti inayothibitisha kua kiasi flani cha fedha kimepokelewa toka kwa mteja sokoni hasa kwa wateja wanaokopeshwa bidhaa ambao wakati waliponunua walipatiwa invoice na efd yake.
Kampuni inamifumo madhubuti ya kufanya biashara na inasaidia sana wateja wake kuweka mifumo ya biashara na ushauri wa compliancies, angekuwa ni mteja halali wa Hiview International Co Ltd asingetoa tuhuma mitandaoni angefuata taratibu zinazofahamika.
Kitabu kilichokuwa kinatumika chenye mfululizo wa namba hizo kilishafungwa matumizi yake kutokana na mfanyakazi alokua anakitumia kuachishwa kazi kwa sababu mbalimbali.
Nia ya thread hii ni visasi ambavyo kimsingi vinalengo binafsi. Ni vizuri kila mtu kuepuka uzushi mtandaoni ili kulinda afya ya hii forum, kuepuka kujiingiza katika jinai bila sababu, kuepuka kudharirisha watu kwa makusudi na nia ovu dhidi ya Kampuni. Hizi tuhuma zina lengo la kuifanya Hiview isiendelee na mikakati ya kiushindani sokoni.
Haya ni matokeo ya watu walofanya ouvu kwenye kampuni na kujihami wasichukuliwe hatua.
Hii ungewapelekea TBS nadhani jngekua safi.Nyie wababaishaji sana.
Matairi yenu ni feki,nimenunua matairi yamekaa siku mbili tu yakabasti yote.
Me nashauri sio TRA tu wawashughulike,hata TBS nao wawashughulikie.
Halafu hamna customer care nzuri kabisa,kuanzia huyo meneja wenu mpaka wafanyakazi wa chini.wote zero brain.
View attachment 2034980
View attachment 2034981
View attachment 2034982
Toka lini mchina akaajiri professional,wao ukijua kuongea tu,wanataka wa kumpa mshahara mbuzi.Mtu wao wa sales alinidanganya wanatoa warranty ya mwaka mmoja,yalivyopasuka nikamjulisha lakini na yeye hana customer care nzuri anamjibu mteja kama wana ugomvi,baada ya kumbana sana kuwa nitampeleka polisi ndio akanielekeza niyarudishe pale kwenye kaofisi kao mikocheni.ndio nikalikuta hilo limeneja lao,wacha linijibu utumbo.lile lijamaa nina wasiwasi hata na uraia wake.kama sio likenya basi ni jitu la Burundi huko.
🤣🤣Ulikuwa unataka mtelemko ukapata mserereko
Mkuu,jitafakarini kwa nini nyinyi tu?Taarifa hii haina ukweli, taarifa za kuchafua kampuni au wafanyakazi kwa makusudi binafsi si tabia nzuri na inaleta mijadala isiyo na afya. maana hakuna mteja wa Mwanza aliyehudumiwa siku hiyo na kupewa receipt inayoonekana kufojiwa sahihi ya mfanyakazi wa Kampuni ya Hiview, kughushi sahihi ya mtu ni kosa kisheria, anaefanya hivi anakosea, hakuna malipo yaliyopokelewa kwa utaratibu ambao ofisi inautumia.
Kitabu cha risiti kilichoambatanishwa sahihi yake imeghushiwa na si risiti ya kuuzia bidhaa, ni risiti inayothibitisha kua kiasi flani cha fedha kimepokelewa toka kwa mteja sokoni hasa kwa wateja wanaokopeshwa bidhaa ambao wakati waliponunua walipatiwa invoice na efd yake.
Kampuni inamifumo madhubuti ya kufanya biashara na inasaidia sana wateja wake kuweka mifumo ya biashara na ushauri wa compliancies, angekuwa ni mteja halali wa Hiview International Co Ltd asingetoa tuhuma mitandaoni angefuata taratibu zinazofahamika.
Kitabu kilichokuwa kinatumika chenye mfululizo wa namba hizo kilishafungwa matumizi yake kutokana na mfanyakazi alokua anakitumia kuachishwa kazi kwa sababu mbalimbali.
Nia ya thread hii ni visasi ambavyo kimsingi vinalengo binafsi. Ni vizuri kila mtu kuepuka uzushi mtandaoni ili kulinda afya ya hii forum, kuepuka kujiingiza katika jinai bila sababu, kuepuka kudharirisha watu kwa makusudi na nia ovu dhidi ya Kampuni. Hizi tuhuma zina lengo la kuifanya Hiview isiendelee na mikakati ya kiushindani sokoni.
Haya ni matokeo ya watu walofanya ouvu kwenye kampuni na kujihami wasichukuliwe hatua.
Kweli kabisa,matairi yao sijui yana tatizo gani.sisi mpaka tuliamua kuwahama maana kila week ilikua ni kununua matairi.Nyie wababaishaji sana.
Matairi yenu ni feki,nimenunua matairi yamekaa siku mbili tu yakabasti yote.
Me nashauri sio TRA tu wawashughulike,hata TBS nao wawashughulikie.
Halafu hamna customer care nzuri kabisa,kuanzia huyo meneja wenu mpaka wafanyakazi wa chini.wote zero brain.
View attachment 2034980
View attachment 2034981
View attachment 2034982
Kwanini?Hapana,Victor bado yuko nao.mimi nilishaacha.
Hii kampuni naifahamu ipo mikocheni karibia na hekima garden.na ni kweli huwa hawatoi risiti kwa baadhi ya wateja wao.kuna kipindi tulikua wateja wao wazuri tu wa matairi ya kapsen na Goodtyre.sema matairi yao hayana quality nzuri.unanunua tairi leo halafu week ijayo tayari tairi limepasuka.ukiwarudishia huyo meneja wao anaitwa Sylvester Katambi anaweza kukutukana.
Mbinu wanazotumia ni wanakupa mzigo kwa bei ya chini kidogo halafu hawakupi risiti.ukikamatwa utajijua mwenyewe huko maana wenyewe hawakupi hata delivery note.huyo meneja wao mwenyewe njaa balaa anakuuzia kwa style hiyo halafu huku nyuma anakupigia anakuomba hela ya maji ya kunywa.
Sema TRA nao wamelala sana,maana mbinu za kuwakamata hawa ni simple tu kama wakiamua.
Naunga mkono hoja TRA na TBS wawafuatilie hawa watu.
Wewe ni taahira, kilichokufanya uache wauzaji wote wa bei halisi ni kipi hadi ukaenda kununua hapo kwa bei rahisi mno?! We unafikiri huo urahisi wa bei unatokana na nini?Mimi ni mjasirilismali,nina duka la matairi ya magari huku Mwanza.
Nilielekezwa kwenye hiyo kampuni tajwa hapo juu kuwa wanauza matairi ya jumla,basi nikafunga safari mpaka dar nikawatafuta mpaka ofisini kwao,ofisi zao ziko mikocheni sehemu inaitwa njia panda ya mawaziri.
Nilivyofika nikaandika order yangu nikalipia wakanipa risiti ya malipo tu,wakaniambia mzigo wangu wataupeleka wenyewe kwa transporter wangu na documents zote watampa transporter,nami sikuona ni tatizo kwani documents zinatakiwa ziambatane na mzigo njiani ili kuepuka usumbufu.
Kweli mzigo walipeleka kwa transporter lakini bila documents zozote, na mbaya zaidi siku hiyo TRA walikuwa na ukaguzi maeneo hayo ya Ilala hivyo mzigo wangu ukakamatwa na TRA, transporter akanijulisha hilo suala,nikawapigia wahusika kwa kutumia hizi number 0713174... na 0763235... ili kujua kulikoni. Hiyo number ya kwanza ni ya mtu niliyeambiwa anaitwa Sylvester ndiye meneja wa hiyo kampuni,huyo jamaa baada ya kumueleza shida yangu alichonijibu ni kuwa wao mzigo ukishafika kwa transporter hauwahusu tena na ana majibu mabaya sana utadhani sio Mtanzania. Sasa TRA wamenipiga fine ya 1.5m kwa makosa yaliyosababishwa na hao wapuuzi.
Nimejaribu kufanya uchunguzi kwa baadhi ya jamaa zangu Kariakoo kuhusiana na hii kampuni,wengi wanasema hawa jamaa ndiyo michezo yao hiyo,hawatoi risiti kwa wateja na mzigo ukikamatwa wao hawakusaidii chochote.
Wito wangu kwa TRA ifuatilieni hii kampuni kwa ukaribu muwachukulie hatua za kinidhamu kwa sababu wanafanya biashara za kihuni.
Nimeambatanisha risiti ya malipo waliyoniandikia ofisini kwao kama ushahidi.
View attachment 2032318
Ana elimu gani,na pale anaenda kufanya kazi gani?Kwanini?
Kuna dogo ameacha kazi dukani kwangu akaenda hapo. Wanalipaje?
Nataka nimuwin back nijue wanalipaje nimuongezee hata ka 200k,napata shida kupata mzoefu kama yeye dah
Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi ya sales ana diplomaAna elimu gani,na pale anaenda kufanya kazi gani?
Ulikuwa unataka mtelemko ukapata mserereko