DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 40,452
- 99,081
Akikomaa inakula kwake,Awakomalie watarajesha tu,tena aambatane na maofisa wa TRA na TAKUKURU atawashika tu
Hazijui figisu za mjini uyu.
Akileta ujuaji,
Mzigo unataifishwa afu watu wa tra wanajifanya wamempiga faini feki muuzaji.
Kisha wanamwambia jamaa akungute matako yake haende maana kwa mujibu wa sheria Mali ya magendo hairudishwi kwa mhusika.
Afu baadae,
Jamaa wa maduka wanaenda kuwapoza tra kitu kidogo afu mzigo unawarudia wao wenyewe.
Mjini shule bwashee