kachumbari
Senior Member
- Nov 1, 2010
- 125
- 8
Najua siku hizi mnadai mnafanya kazi kwa mtandao,mtu ana lodge document leo inachukua siku 8 mpaka 10 na hapo unafuatilia ,wakati mwingine inasahaulika kabisaaa!,halafu kibaya zaidi wakati mwingine una mjibu mteja wako kuwa SYSTEM IKO DOWN mimi inanihusu nini? kwani mngekuwa mnasimamisha ngarama za storage nisingekuwa na hoja ila huko nyie hampo na wala hamjali sie wateja tufanyaje?