kelvinkipeta
Senior Member
- Feb 17, 2012
- 108
- 11
kdfdfdfdfdfdfdfdfdfdfdfdfdfdfdfdfdfdfdfdfdfdfdfdfdfdfdfdfdfdfdfdfdfdfdfdfdfdfdfdfdfdfdfdfdf
Inakera sana dead line ilikuwa trh 13 au 14 ya november ina maana mpaka leo hawajaita,,,au ndo wanataka waptikane wachaga kwanza
interview zao ni ngapi?
Jamani vp?
oya em tuliza mcheche huo...watu wengi wameapply usidhan umeapply wewe tu.....tra bado sanaa pengine februari uko ndo wakaanza kuita. we tafuta cha maana cha kufanya kwa mda huu na usahau kwa muda kuhusu interviews or maswali ya tra interviews. jenga tu mazoea ya kusoma about how tra operate na vitu kama ivyo kwa sasa
Kimya?
ukabila?