Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa hapa atusha wanakula rushwa sana mi ntatoa ushahidi ikibidiPENGINE NI WAKATI WA KUNYOOSHANA
MH RAIS
TRA ARUSHA WAMEFUNGA MADUKA YOOTE KWA KUKADIRIA WATU PESA ZA JUU NA KUOMBA WAPEW KIASI FULANI KAABLA YA MAZUNGUMZO
HALI HII TULIZOEA HUKO NYUMA LAKINI SASA MH RAISI INATIA AIBU SANA SANA WANATURUDISHA KULE TULIPOTOKA
MFANO TU
MFANYABIASHARA BENSON WAMEMKADIRIA ANATAKIWA KULIPA BIL 3
KABLA YA MAONGEZI YOYOTE AMEAMBIWA ATOE BIL 1 MEZANI WAMALIZAN
SIO HUYU TU WAPO UZUNGUNI BAR
HAWA WAMILIKI WAAMEPELEKEWA BILL YA MIL 200
KABLA YA KULIPA WAMEAMBIWA WAWEKE MEZANI MIL 50
NAOMBA MUELEWE TOFAUTI YA KUWEKA MEZANI NA KULIPA.....
TUNAOMBA KAMISHNA MKUU WA TRA NENDA ARUSHA WAFANYABIASHARA WAMEFUNGA OFISI KWA MAKADIRIO YAAIOYA KWELI HUKU WAH WAKITAKA PESA ZA AJABU WAWEKEWE MEZANI
MH RAISI TUNAOMBA TUWAFATALIE SANA HAWA MABWANA WANATUTIA AIBU......KABLA ATUJAENDELEA KULETA LIST NZIMA YA WAFANYABIASHARA WALIOOMBWA HELA KUWEKA MEZANI
unadhani hawajui Basi. Ni wakwepa Kodi wakubwa ndio maana jamii hizi za kihindi wasomali Na waarabu hawawezi biashara ulaya wakapata faida ya kutisha mzungu Hana Sanaa huku fair play ukimuona tajiri yeyote ulaya muheshimu.Ndo hapo wafanyabiashara wakishauriwa waajiri proper wahasibu wenye qualification za juu kama CPA hawataki wakati hata kutunza na kuandaa vzuri kumbukumbu za kodi hawafanyi hapo utawalalamikia tu TRA.
Lakini kama kumbukumbu za na hesabu wanazo na kila mauzo hulipa kodi husika huna sababu ya kuogopa peleka hesabu zako tuone kama hawatakufungulia.
Tatizo la wafanyabiashara wakubwa wanakosa elimu ya kodi hvyo kujikuta kwenye faini na malimbikizo ambayo wangeyaepuka.
Tunayaona na tulipeleka TAKUKURU ushahidi wa video Mnyeti akitoa rushwa ila ushahidi umetupwa kwasababu muhusika ni mteule wa rais.Arusha iko chini ya Chadema lakini ni rushwa tupu.
Chadema hamuyaoni haya?
Mnyeti ni mfanyabiashara anayezungumziwa hapa??Tunayaona na tulipeleka TAKUKURU ushahidi wa video Mnyeti akitoa rushwa ila ushahidi umetupwa kwasababu muhusika ni mteule wa rais.
We pimbi ushawai kufanya biashara hata ya kuuza karangaACHA UONGO MTOA POST
TRA WANATIMIZA WAJIBU WAO WA KUKUSANYA KODI
WALIPA KODI ARUSHA WALIPE KODI NI WAJIBU WAO