Uchaguzi 2020 TPSF na Siasa za Uchaguzi: Waandaa mkutano kumpongeza Rais Magufuli kwa mafanikio makubwa ya miaka 5 iliyopita

Huu hapa chini ndo mualiko wao uliosambazwa leo:

MUALIKO WA KUSHIRIKI KATIKA MKUTANO MAALUM WA SEKTA BINAFSI KUMPONGEZA MHESHIMIWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT. JOHN POMBE MAGUFULI KWA MAFANIKIO YALIYOPATIKANA KATIKA MIAKA MITANO YA UONGOZI WAKE (2015-2020)

UKUMBI: JULIUS NYERERE INTERNATIONAL CONVENTION CENTRE (JNICC)
TAREHE: 18 OKTOBA 2020

Tafadhali rejea kichwa cha habari hapo juu.
Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) imeandaa mkutano unaolenga kuwakutanisha wadau wa sekta binafsi nchini kwa lengo la kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Joseph Pombe Magufuli na Serikali ya Awamu ya Tano kwa mafanikio makubwa yaliopatikana ndani ya miaka mitano chini ya uongozi wake.

Mkutano huu umepangwa kufanyika siku ya Jumapili tarehe 18 Oktoba, 2020 katika ukumbi wa Mikutano wa Julius Nyerere International Convention Centre (JNICC), uliopo Jijini Dar Es Salaam

Katika mkutano huu, Wanachama na wadau wa sekta binafsi watarejea, watatafakari na kusherehekea Mafanikio ya Kiuchumi ya Serikali ya Awamu ya Tano chini ya uongozi mahiri wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt John Pombe Magufuli. Hii itaambatana na kumuelezea Mh. Rais maeneo ya kipaumbele kwa sekta binafsi kwa miaka mitano ijayo na mapendekezo ya nini Serikali ifanye ili kuhakikisha ukuaji na ustawi zaidi wa Sekta Binafsi.

Mkutano huu unatarajiwa kuhuduriwa na wadau wapatao 1,000 kutoka sekta binafsi ambao pia wanatoka katika kongani kumi na nne za TPSF na sekta zote za kiuchumi
Mkutano huu ni moja ya Mikutano mikubwa kabisa iliyowahi kuandaliwa na Sekta Binafsi nchini.

TPSF inaiomba Taasisi yako ambayo ni mdau muhimu wa Sekta Binafsi ihamasishe ushiriki wa wanachama na wadau walioko chini ya taasisi yako ili waweze kushiriki kwa idadi kubwa kadiri iwezekanavyo katika mkutano huu muhimu. Tunaomba ufikishe mwaliko huu kwa wanachama wako na uwaombe wathibitishe ushiriki wao kwa kupiga namba (0676 62 72 61 na 0765 19 64 96).

Pia tunawaalika wanachama wako watakaopendelea kushiriki katika maandalizi ya Mkutano huu muhimu kwa kuwa sehemu ya wadhamini (sponsors).

Tunaamini kuwa, ushirikiano wako mathubuti katika maandalizi ya mkutano huu utazaa matunda na kutuwezesha kwa pamoja kama Sekta Binafsi kuwa na Mkutano wenye mafanikio.

View attachment 1603486
Very stu.pi.d sekta binafsi imekufa, Makampuni yamekufa afu mnanfaa kongamano la kipuuzi kama hili
 
Huu hapa chini ndo mualiko wao uliosambazwa leo:

MUALIKO WA KUSHIRIKI KATIKA MKUTANO MAALUM WA SEKTA BINAFSI KUMPONGEZA MHESHIMIWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT. JOHN POMBE MAGUFULI KWA MAFANIKIO YALIYOPATIKANA KATIKA MIAKA MITANO YA UONGOZI WAKE (2015-2020)

UKUMBI: JULIUS NYERERE INTERNATIONAL CONVENTION CENTRE (JNICC)
TAREHE: 18 OKTOBA 2020

Tafadhali rejea kichwa cha habari hapo juu.
Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) imeandaa mkutano unaolenga kuwakutanisha wadau wa sekta binafsi nchini kwa lengo la kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Joseph Pombe Magufuli na Serikali ya Awamu ya Tano kwa mafanikio makubwa yaliopatikana ndani ya miaka mitano chini ya uongozi wake.

Mkutano huu umepangwa kufanyika siku ya Jumapili tarehe 18 Oktoba, 2020 katika ukumbi wa Mikutano wa Julius Nyerere International Convention Centre (JNICC), uliopo Jijini Dar Es Salaam

Katika mkutano huu, Wanachama na wadau wa sekta binafsi watarejea, watatafakari na kusherehekea Mafanikio ya Kiuchumi ya Serikali ya Awamu ya Tano chini ya uongozi mahiri wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt John Pombe Magufuli. Hii itaambatana na kumuelezea Mh. Rais maeneo ya kipaumbele kwa sekta binafsi kwa miaka mitano ijayo na mapendekezo ya nini Serikali ifanye ili kuhakikisha ukuaji na ustawi zaidi wa Sekta Binafsi.

Mkutano huu unatarajiwa kuhuduriwa na wadau wapatao 1,000 kutoka sekta binafsi ambao pia wanatoka katika kongani kumi na nne za TPSF na sekta zote za kiuchumi
Mkutano huu ni moja ya Mikutano mikubwa kabisa iliyowahi kuandaliwa na Sekta Binafsi nchini.

TPSF inaiomba Taasisi yako ambayo ni mdau muhimu wa Sekta Binafsi ihamasishe ushiriki wa wanachama na wadau walioko chini ya taasisi yako ili waweze kushiriki kwa idadi kubwa kadiri iwezekanavyo katika mkutano huu muhimu. Tunaomba ufikishe mwaliko huu kwa wanachama wako na uwaombe wathibitishe ushiriki wao kwa kupiga namba (0676 62 72 61 na 0765 19 64 96).

Pia tunawaalika wanachama wako watakaopendelea kushiriki katika maandalizi ya Mkutano huu muhimu kwa kuwa sehemu ya wadhamini (sponsors).

Tunaamini kuwa, ushirikiano wako mathubuti katika maandalizi ya mkutano huu utazaa matunda na kutuwezesha kwa pamoja kama Sekta Binafsi kuwa na Mkutano wenye mafanikio.

View attachment 1603486
Wapuuzwe hao kenge
 
Hawa si ndio wahanga wa huu utawala kwa kusababisha kudumaa kwa biashara zao. Huu ndio woga anaoungelea Butiku.
 
Huu hapa chini ndo mualiko wao uliosambazwa leo:

MUALIKO WA KUSHIRIKI KATIKA MKUTANO MAALUM WA SEKTA BINAFSI KUMPONGEZA MHESHIMIWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT. JOHN POMBE MAGUFULI KWA MAFANIKIO YALIYOPATIKANA KATIKA MIAKA MITANO YA UONGOZI WAKE (2015-2020)

UKUMBI: JULIUS NYERERE INTERNATIONAL CONVENTION CENTRE (JNICC)
TAREHE: 18 OKTOBA 2020

Tafadhali rejea kichwa cha habari hapo juu.
Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) imeandaa mkutano unaolenga kuwakutanisha wadau wa sekta binafsi nchini kwa lengo la kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Joseph Pombe Magufuli na Serikali ya Awamu ya Tano kwa mafanikio makubwa yaliopatikana ndani ya miaka mitano chini ya uongozi wake.

Mkutano huu umepangwa kufanyika siku ya Jumapili tarehe 18 Oktoba, 2020 katika ukumbi wa Mikutano wa Julius Nyerere International Convention Centre (JNICC), uliopo Jijini Dar Es Salaam

Katika mkutano huu, Wanachama na wadau wa sekta binafsi watarejea, watatafakari na kusherehekea Mafanikio ya Kiuchumi ya Serikali ya Awamu ya Tano chini ya uongozi mahiri wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt John Pombe Magufuli. Hii itaambatana na kumuelezea Mh. Rais maeneo ya kipaumbele kwa sekta binafsi kwa miaka mitano ijayo na mapendekezo ya nini Serikali ifanye ili kuhakikisha ukuaji na ustawi zaidi wa Sekta Binafsi.

Mkutano huu unatarajiwa kuhuduriwa na wadau wapatao 1,000 kutoka sekta binafsi ambao pia wanatoka katika kongani kumi na nne za TPSF na sekta zote za kiuchumi
Mkutano huu ni moja ya Mikutano mikubwa kabisa iliyowahi kuandaliwa na Sekta Binafsi nchini.

TPSF inaiomba Taasisi yako ambayo ni mdau muhimu wa Sekta Binafsi ihamasishe ushiriki wa wanachama na wadau walioko chini ya taasisi yako ili waweze kushiriki kwa idadi kubwa kadiri iwezekanavyo katika mkutano huu muhimu. Tunaomba ufikishe mwaliko huu kwa wanachama wako na uwaombe wathibitishe ushiriki wao kwa kupiga namba (0676 62 72 61 na 0765 19 64 96).

Pia tunawaalika wanachama wako watakaopendelea kushiriki katika maandalizi ya Mkutano huu muhimu kwa kuwa sehemu ya wadhamini (sponsors).

Tunaamini kuwa, ushirikiano wako mathubuti katika maandalizi ya mkutano huu utazaa matunda na kutuwezesha kwa pamoja kama Sekta Binafsi kuwa na Mkutano wenye mafanikio.

View attachment 1603486
Sekta BINAFSI iko HOI BIN TAABAN,

MNAPONGEZA NINI?

"MWOGOPENI MUNGU"

UNAFIKI HUO MAJUTO YAKE YATAKUWA MABEGANI MWENU.
 
Very stu.pi.d sekta binafsi imekufa, Makampuni yamekufa afu mnanfaa kongamano la kipuuzi kama hili
Pagan hii hoja ina mapungufu. We have more dollar millionaires in this country than any other time in history of our nation. We are leading by far in East Africa and SADC only south africa is ahead of us.
Hakuna umaskini by how to share a cake.
 
Sekta BINAFSI iko HOI BIN TAABAN,

MNAPONGEZA NINI?

"MWOGOPENI MUNGU"

UNAFIKI HUO MAJUTO YAKE YATAKUWA MABEGANI MWENU.
Na iko hoi kwasababu ya sera za majukaani ambazo hazidumu naniza mtu mmoja ambazo hazina sheria wala kanuni ya kuzisimamia,mfano matumizi ya jeshi kwenye ununuzi wa korosho 'policy uncertainty'
 
Huu hapa chini ndo mualiko wao uliosambazwa leo:

MUALIKO WA KUSHIRIKI KATIKA MKUTANO MAALUM WA SEKTA BINAFSI KUMPONGEZA MHESHIMIWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT. JOHN POMBE MAGUFULI KWA MAFANIKIO YALIYOPATIKANA KATIKA MIAKA MITANO YA UONGOZI WAKE (2015-2020)

UKUMBI: JULIUS NYERERE INTERNATIONAL CONVENTION CENTRE (JNICC)
TAREHE: 18 OKTOBA 2020

Tafadhali rejea kichwa cha habari hapo juu.
Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) imeandaa mkutano unaolenga kuwakutanisha wadau wa sekta binafsi nchini kwa lengo la kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Joseph Pombe Magufuli na Serikali ya Awamu ya Tano kwa mafanikio makubwa yaliopatikana ndani ya miaka mitano chini ya uongozi wake.

Mkutano huu umepangwa kufanyika siku ya Jumapili tarehe 18 Oktoba, 2020 katika ukumbi wa Mikutano wa Julius Nyerere International Convention Centre (JNICC), uliopo Jijini Dar Es Salaam

Katika mkutano huu, Wanachama na wadau wa sekta binafsi watarejea, watatafakari na kusherehekea Mafanikio ya Kiuchumi ya Serikali ya Awamu ya Tano chini ya uongozi mahiri wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt John Pombe Magufuli. Hii itaambatana na kumuelezea Mh. Rais maeneo ya kipaumbele kwa sekta binafsi kwa miaka mitano ijayo na mapendekezo ya nini Serikali ifanye ili kuhakikisha ukuaji na ustawi zaidi wa Sekta Binafsi.

Mkutano huu unatarajiwa kuhuduriwa na wadau wapatao 1,000 kutoka sekta binafsi ambao pia wanatoka katika kongani kumi na nne za TPSF na sekta zote za kiuchumi
Mkutano huu ni moja ya Mikutano mikubwa kabisa iliyowahi kuandaliwa na Sekta Binafsi nchini.

TPSF inaiomba Taasisi yako ambayo ni mdau muhimu wa Sekta Binafsi ihamasishe ushiriki wa wanachama na wadau walioko chini ya taasisi yako ili waweze kushiriki kwa idadi kubwa kadiri iwezekanavyo katika mkutano huu muhimu. Tunaomba ufikishe mwaliko huu kwa wanachama wako na uwaombe wathibitishe ushiriki wao kwa kupiga namba (0676 62 72 61 na 0765 19 64 96).

Pia tunawaalika wanachama wako watakaopendelea kushiriki katika maandalizi ya Mkutano huu muhimu kwa kuwa sehemu ya wadhamini (sponsors).

Tunaamini kuwa, ushirikiano wako mathubuti katika maandalizi ya mkutano huu utazaa matunda na kutuwezesha kwa pamoja kama Sekta Binafsi kuwa na Mkutano wenye mafanikio.

View attachment 1603486
Hili ni tamasha la kumbukizi ya wafanyabiashara waliokufa kwa pressure kwa sababu ya kufilisiwa na TRA?
 
Pagan hii hoja ina mapungufu. We have more dollar millionaires in this country than any other time in history of our nation. We are leading by far in East Africa and SADC only south africa is ahead of us.
Hakuna umaskini by how to share a cake.
Provide to us some data to substantiate your claim. La sivyo ni si-hasa.
 
Huu hapa chini ndo mualiko wao uliosambazwa leo:

MUALIKO WA KUSHIRIKI KATIKA MKUTANO MAALUM WA SEKTA BINAFSI KUMPONGEZA MHESHIMIWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT. JOHN POMBE MAGUFULI KWA MAFANIKIO YALIYOPATIKANA KATIKA MIAKA MITANO YA UONGOZI WAKE (2015-2020)

UKUMBI: JULIUS NYERERE INTERNATIONAL CONVENTION CENTRE (JNICC)
TAREHE: 18 OKTOBA 2020

Tafadhali rejea kichwa cha habari hapo juu.
Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) imeandaa mkutano unaolenga kuwakutanisha wadau wa sekta binafsi nchini kwa lengo la kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Joseph Pombe Magufuli na Serikali ya Awamu ya Tano kwa mafanikio makubwa yaliopatikana ndani ya miaka mitano chini ya uongozi wake.

Mkutano huu umepangwa kufanyika siku ya Jumapili tarehe 18 Oktoba, 2020 katika ukumbi wa Mikutano wa Julius Nyerere International Convention Centre (JNICC), uliopo Jijini Dar Es Salaam

Katika mkutano huu, Wanachama na wadau wa sekta binafsi watarejea, watatafakari na kusherehekea Mafanikio ya Kiuchumi ya Serikali ya Awamu ya Tano chini ya uongozi mahiri wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt John Pombe Magufuli. Hii itaambatana na kumuelezea Mh. Rais maeneo ya kipaumbele kwa sekta binafsi kwa miaka mitano ijayo na mapendekezo ya nini Serikali ifanye ili kuhakikisha ukuaji na ustawi zaidi wa Sekta Binafsi.

Mkutano huu unatarajiwa kuhuduriwa na wadau wapatao 1,000 kutoka sekta binafsi ambao pia wanatoka katika kongani kumi na nne za TPSF na sekta zote za kiuchumi
Mkutano huu ni moja ya Mikutano mikubwa kabisa iliyowahi kuandaliwa na Sekta Binafsi nchini.

TPSF inaiomba Taasisi yako ambayo ni mdau muhimu wa Sekta Binafsi ihamasishe ushiriki wa wanachama na wadau walioko chini ya taasisi yako ili waweze kushiriki kwa idadi kubwa kadiri iwezekanavyo katika mkutano huu muhimu. Tunaomba ufikishe mwaliko huu kwa wanachama wako na uwaombe wathibitishe ushiriki wao kwa kupiga namba (0676 62 72 61 na 0765 19 64 96).

Pia tunawaalika wanachama wako watakaopendelea kushiriki katika maandalizi ya Mkutano huu muhimu kwa kuwa sehemu ya wadhamini (sponsors).

Tunaamini kuwa, ushirikiano wako mathubuti katika maandalizi ya mkutano huu utazaa matunda na kutuwezesha kwa pamoja kama Sekta Binafsi kuwa na Mkutano wenye mafanikio.

View attachment 1603486
Hutaki wampongeze kwa uongozi wake mzuri?
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom