Jane Lowassa
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 4,748
- 8,455
Ni jambo la heli sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Very stu.pi.d sekta binafsi imekufa, Makampuni yamekufa afu mnanfaa kongamano la kipuuzi kama hiliHuu hapa chini ndo mualiko wao uliosambazwa leo:
MUALIKO WA KUSHIRIKI KATIKA MKUTANO MAALUM WA SEKTA BINAFSI KUMPONGEZA MHESHIMIWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT. JOHN POMBE MAGUFULI KWA MAFANIKIO YALIYOPATIKANA KATIKA MIAKA MITANO YA UONGOZI WAKE (2015-2020)
UKUMBI: JULIUS NYERERE INTERNATIONAL CONVENTION CENTRE (JNICC)
TAREHE: 18 OKTOBA 2020
Tafadhali rejea kichwa cha habari hapo juu.
Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) imeandaa mkutano unaolenga kuwakutanisha wadau wa sekta binafsi nchini kwa lengo la kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Joseph Pombe Magufuli na Serikali ya Awamu ya Tano kwa mafanikio makubwa yaliopatikana ndani ya miaka mitano chini ya uongozi wake.
Mkutano huu umepangwa kufanyika siku ya Jumapili tarehe 18 Oktoba, 2020 katika ukumbi wa Mikutano wa Julius Nyerere International Convention Centre (JNICC), uliopo Jijini Dar Es Salaam
Katika mkutano huu, Wanachama na wadau wa sekta binafsi watarejea, watatafakari na kusherehekea Mafanikio ya Kiuchumi ya Serikali ya Awamu ya Tano chini ya uongozi mahiri wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt John Pombe Magufuli. Hii itaambatana na kumuelezea Mh. Rais maeneo ya kipaumbele kwa sekta binafsi kwa miaka mitano ijayo na mapendekezo ya nini Serikali ifanye ili kuhakikisha ukuaji na ustawi zaidi wa Sekta Binafsi.
Mkutano huu unatarajiwa kuhuduriwa na wadau wapatao 1,000 kutoka sekta binafsi ambao pia wanatoka katika kongani kumi na nne za TPSF na sekta zote za kiuchumi
Mkutano huu ni moja ya Mikutano mikubwa kabisa iliyowahi kuandaliwa na Sekta Binafsi nchini.
TPSF inaiomba Taasisi yako ambayo ni mdau muhimu wa Sekta Binafsi ihamasishe ushiriki wa wanachama na wadau walioko chini ya taasisi yako ili waweze kushiriki kwa idadi kubwa kadiri iwezekanavyo katika mkutano huu muhimu. Tunaomba ufikishe mwaliko huu kwa wanachama wako na uwaombe wathibitishe ushiriki wao kwa kupiga namba (0676 62 72 61 na 0765 19 64 96).
Pia tunawaalika wanachama wako watakaopendelea kushiriki katika maandalizi ya Mkutano huu muhimu kwa kuwa sehemu ya wadhamini (sponsors).
Tunaamini kuwa, ushirikiano wako mathubuti katika maandalizi ya mkutano huu utazaa matunda na kutuwezesha kwa pamoja kama Sekta Binafsi kuwa na Mkutano wenye mafanikio.
View attachment 1603486
Wapuuzwe hao kengeHuu hapa chini ndo mualiko wao uliosambazwa leo:
MUALIKO WA KUSHIRIKI KATIKA MKUTANO MAALUM WA SEKTA BINAFSI KUMPONGEZA MHESHIMIWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT. JOHN POMBE MAGUFULI KWA MAFANIKIO YALIYOPATIKANA KATIKA MIAKA MITANO YA UONGOZI WAKE (2015-2020)
UKUMBI: JULIUS NYERERE INTERNATIONAL CONVENTION CENTRE (JNICC)
TAREHE: 18 OKTOBA 2020
Tafadhali rejea kichwa cha habari hapo juu.
Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) imeandaa mkutano unaolenga kuwakutanisha wadau wa sekta binafsi nchini kwa lengo la kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Joseph Pombe Magufuli na Serikali ya Awamu ya Tano kwa mafanikio makubwa yaliopatikana ndani ya miaka mitano chini ya uongozi wake.
Mkutano huu umepangwa kufanyika siku ya Jumapili tarehe 18 Oktoba, 2020 katika ukumbi wa Mikutano wa Julius Nyerere International Convention Centre (JNICC), uliopo Jijini Dar Es Salaam
Katika mkutano huu, Wanachama na wadau wa sekta binafsi watarejea, watatafakari na kusherehekea Mafanikio ya Kiuchumi ya Serikali ya Awamu ya Tano chini ya uongozi mahiri wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt John Pombe Magufuli. Hii itaambatana na kumuelezea Mh. Rais maeneo ya kipaumbele kwa sekta binafsi kwa miaka mitano ijayo na mapendekezo ya nini Serikali ifanye ili kuhakikisha ukuaji na ustawi zaidi wa Sekta Binafsi.
Mkutano huu unatarajiwa kuhuduriwa na wadau wapatao 1,000 kutoka sekta binafsi ambao pia wanatoka katika kongani kumi na nne za TPSF na sekta zote za kiuchumi
Mkutano huu ni moja ya Mikutano mikubwa kabisa iliyowahi kuandaliwa na Sekta Binafsi nchini.
TPSF inaiomba Taasisi yako ambayo ni mdau muhimu wa Sekta Binafsi ihamasishe ushiriki wa wanachama na wadau walioko chini ya taasisi yako ili waweze kushiriki kwa idadi kubwa kadiri iwezekanavyo katika mkutano huu muhimu. Tunaomba ufikishe mwaliko huu kwa wanachama wako na uwaombe wathibitishe ushiriki wao kwa kupiga namba (0676 62 72 61 na 0765 19 64 96).
Pia tunawaalika wanachama wako watakaopendelea kushiriki katika maandalizi ya Mkutano huu muhimu kwa kuwa sehemu ya wadhamini (sponsors).
Tunaamini kuwa, ushirikiano wako mathubuti katika maandalizi ya mkutano huu utazaa matunda na kutuwezesha kwa pamoja kama Sekta Binafsi kuwa na Mkutano wenye mafanikio.
View attachment 1603486
Sekta BINAFSI iko HOI BIN TAABAN,Huu hapa chini ndo mualiko wao uliosambazwa leo:
MUALIKO WA KUSHIRIKI KATIKA MKUTANO MAALUM WA SEKTA BINAFSI KUMPONGEZA MHESHIMIWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT. JOHN POMBE MAGUFULI KWA MAFANIKIO YALIYOPATIKANA KATIKA MIAKA MITANO YA UONGOZI WAKE (2015-2020)
UKUMBI: JULIUS NYERERE INTERNATIONAL CONVENTION CENTRE (JNICC)
TAREHE: 18 OKTOBA 2020
Tafadhali rejea kichwa cha habari hapo juu.
Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) imeandaa mkutano unaolenga kuwakutanisha wadau wa sekta binafsi nchini kwa lengo la kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Joseph Pombe Magufuli na Serikali ya Awamu ya Tano kwa mafanikio makubwa yaliopatikana ndani ya miaka mitano chini ya uongozi wake.
Mkutano huu umepangwa kufanyika siku ya Jumapili tarehe 18 Oktoba, 2020 katika ukumbi wa Mikutano wa Julius Nyerere International Convention Centre (JNICC), uliopo Jijini Dar Es Salaam
Katika mkutano huu, Wanachama na wadau wa sekta binafsi watarejea, watatafakari na kusherehekea Mafanikio ya Kiuchumi ya Serikali ya Awamu ya Tano chini ya uongozi mahiri wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt John Pombe Magufuli. Hii itaambatana na kumuelezea Mh. Rais maeneo ya kipaumbele kwa sekta binafsi kwa miaka mitano ijayo na mapendekezo ya nini Serikali ifanye ili kuhakikisha ukuaji na ustawi zaidi wa Sekta Binafsi.
Mkutano huu unatarajiwa kuhuduriwa na wadau wapatao 1,000 kutoka sekta binafsi ambao pia wanatoka katika kongani kumi na nne za TPSF na sekta zote za kiuchumi
Mkutano huu ni moja ya Mikutano mikubwa kabisa iliyowahi kuandaliwa na Sekta Binafsi nchini.
TPSF inaiomba Taasisi yako ambayo ni mdau muhimu wa Sekta Binafsi ihamasishe ushiriki wa wanachama na wadau walioko chini ya taasisi yako ili waweze kushiriki kwa idadi kubwa kadiri iwezekanavyo katika mkutano huu muhimu. Tunaomba ufikishe mwaliko huu kwa wanachama wako na uwaombe wathibitishe ushiriki wao kwa kupiga namba (0676 62 72 61 na 0765 19 64 96).
Pia tunawaalika wanachama wako watakaopendelea kushiriki katika maandalizi ya Mkutano huu muhimu kwa kuwa sehemu ya wadhamini (sponsors).
Tunaamini kuwa, ushirikiano wako mathubuti katika maandalizi ya mkutano huu utazaa matunda na kutuwezesha kwa pamoja kama Sekta Binafsi kuwa na Mkutano wenye mafanikio.
View attachment 1603486
Siku hizi umepoa sana mtandaoni taabu nini ?Niko hapa ukumbini kufuatilia kwa makini mkutano huu.
P
Ukiwa CCM lazima ujifunze kujitoa ufahamuSasa mkuu paskali mnapongeza nini ikiwa humu jukwaani kuna uzi wako ukilalamikia hali mbaya ya sekta binafsi? Au nyie ni wanafiki?
Pagan hii hoja ina mapungufu. We have more dollar millionaires in this country than any other time in history of our nation. We are leading by far in East Africa and SADC only south africa is ahead of us.Very stu.pi.d sekta binafsi imekufa, Makampuni yamekufa afu mnanfaa kongamano la kipuuzi kama hili
Na iko hoi kwasababu ya sera za majukaani ambazo hazidumu naniza mtu mmoja ambazo hazina sheria wala kanuni ya kuzisimamia,mfano matumizi ya jeshi kwenye ununuzi wa korosho 'policy uncertainty'Sekta BINAFSI iko HOI BIN TAABAN,
MNAPONGEZA NINI?
"MWOGOPENI MUNGU"
UNAFIKI HUO MAJUTO YAKE YATAKUWA MABEGANI MWENU.
Hili ni tamasha la kumbukizi ya wafanyabiashara waliokufa kwa pressure kwa sababu ya kufilisiwa na TRA?Huu hapa chini ndo mualiko wao uliosambazwa leo:
MUALIKO WA KUSHIRIKI KATIKA MKUTANO MAALUM WA SEKTA BINAFSI KUMPONGEZA MHESHIMIWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT. JOHN POMBE MAGUFULI KWA MAFANIKIO YALIYOPATIKANA KATIKA MIAKA MITANO YA UONGOZI WAKE (2015-2020)
UKUMBI: JULIUS NYERERE INTERNATIONAL CONVENTION CENTRE (JNICC)
TAREHE: 18 OKTOBA 2020
Tafadhali rejea kichwa cha habari hapo juu.
Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) imeandaa mkutano unaolenga kuwakutanisha wadau wa sekta binafsi nchini kwa lengo la kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Joseph Pombe Magufuli na Serikali ya Awamu ya Tano kwa mafanikio makubwa yaliopatikana ndani ya miaka mitano chini ya uongozi wake.
Mkutano huu umepangwa kufanyika siku ya Jumapili tarehe 18 Oktoba, 2020 katika ukumbi wa Mikutano wa Julius Nyerere International Convention Centre (JNICC), uliopo Jijini Dar Es Salaam
Katika mkutano huu, Wanachama na wadau wa sekta binafsi watarejea, watatafakari na kusherehekea Mafanikio ya Kiuchumi ya Serikali ya Awamu ya Tano chini ya uongozi mahiri wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt John Pombe Magufuli. Hii itaambatana na kumuelezea Mh. Rais maeneo ya kipaumbele kwa sekta binafsi kwa miaka mitano ijayo na mapendekezo ya nini Serikali ifanye ili kuhakikisha ukuaji na ustawi zaidi wa Sekta Binafsi.
Mkutano huu unatarajiwa kuhuduriwa na wadau wapatao 1,000 kutoka sekta binafsi ambao pia wanatoka katika kongani kumi na nne za TPSF na sekta zote za kiuchumi
Mkutano huu ni moja ya Mikutano mikubwa kabisa iliyowahi kuandaliwa na Sekta Binafsi nchini.
TPSF inaiomba Taasisi yako ambayo ni mdau muhimu wa Sekta Binafsi ihamasishe ushiriki wa wanachama na wadau walioko chini ya taasisi yako ili waweze kushiriki kwa idadi kubwa kadiri iwezekanavyo katika mkutano huu muhimu. Tunaomba ufikishe mwaliko huu kwa wanachama wako na uwaombe wathibitishe ushiriki wao kwa kupiga namba (0676 62 72 61 na 0765 19 64 96).
Pia tunawaalika wanachama wako watakaopendelea kushiriki katika maandalizi ya Mkutano huu muhimu kwa kuwa sehemu ya wadhamini (sponsors).
Tunaamini kuwa, ushirikiano wako mathubuti katika maandalizi ya mkutano huu utazaa matunda na kutuwezesha kwa pamoja kama Sekta Binafsi kuwa na Mkutano wenye mafanikio.
View attachment 1603486
Provide to us some data to substantiate your claim. La sivyo ni si-hasa.Pagan hii hoja ina mapungufu. We have more dollar millionaires in this country than any other time in history of our nation. We are leading by far in East Africa and SADC only south africa is ahead of us.
Hakuna umaskini by how to share a cake.
Hutaki wampongeze kwa uongozi wake mzuri?Huu hapa chini ndo mualiko wao uliosambazwa leo:
MUALIKO WA KUSHIRIKI KATIKA MKUTANO MAALUM WA SEKTA BINAFSI KUMPONGEZA MHESHIMIWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT. JOHN POMBE MAGUFULI KWA MAFANIKIO YALIYOPATIKANA KATIKA MIAKA MITANO YA UONGOZI WAKE (2015-2020)
UKUMBI: JULIUS NYERERE INTERNATIONAL CONVENTION CENTRE (JNICC)
TAREHE: 18 OKTOBA 2020
Tafadhali rejea kichwa cha habari hapo juu.
Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) imeandaa mkutano unaolenga kuwakutanisha wadau wa sekta binafsi nchini kwa lengo la kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Joseph Pombe Magufuli na Serikali ya Awamu ya Tano kwa mafanikio makubwa yaliopatikana ndani ya miaka mitano chini ya uongozi wake.
Mkutano huu umepangwa kufanyika siku ya Jumapili tarehe 18 Oktoba, 2020 katika ukumbi wa Mikutano wa Julius Nyerere International Convention Centre (JNICC), uliopo Jijini Dar Es Salaam
Katika mkutano huu, Wanachama na wadau wa sekta binafsi watarejea, watatafakari na kusherehekea Mafanikio ya Kiuchumi ya Serikali ya Awamu ya Tano chini ya uongozi mahiri wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt John Pombe Magufuli. Hii itaambatana na kumuelezea Mh. Rais maeneo ya kipaumbele kwa sekta binafsi kwa miaka mitano ijayo na mapendekezo ya nini Serikali ifanye ili kuhakikisha ukuaji na ustawi zaidi wa Sekta Binafsi.
Mkutano huu unatarajiwa kuhuduriwa na wadau wapatao 1,000 kutoka sekta binafsi ambao pia wanatoka katika kongani kumi na nne za TPSF na sekta zote za kiuchumi
Mkutano huu ni moja ya Mikutano mikubwa kabisa iliyowahi kuandaliwa na Sekta Binafsi nchini.
TPSF inaiomba Taasisi yako ambayo ni mdau muhimu wa Sekta Binafsi ihamasishe ushiriki wa wanachama na wadau walioko chini ya taasisi yako ili waweze kushiriki kwa idadi kubwa kadiri iwezekanavyo katika mkutano huu muhimu. Tunaomba ufikishe mwaliko huu kwa wanachama wako na uwaombe wathibitishe ushiriki wao kwa kupiga namba (0676 62 72 61 na 0765 19 64 96).
Pia tunawaalika wanachama wako watakaopendelea kushiriki katika maandalizi ya Mkutano huu muhimu kwa kuwa sehemu ya wadhamini (sponsors).
Tunaamini kuwa, ushirikiano wako mathubuti katika maandalizi ya mkutano huu utazaa matunda na kutuwezesha kwa pamoja kama Sekta Binafsi kuwa na Mkutano wenye mafanikio.
View attachment 1603486
Kenyans richer but Tanzania home to more millionairesProvide to us some data to substantiate your claim. La sivyo ni si-hasa.
Huna jinsi Mkuu fuatilia utatupa mrejeshoNiko hapa ukumbini kufuatilia kwa makini mkutano huu.
P
Uchumi wa Magufuli: Sekta Binafsi ina-Suffer. Yalianza Maduka, Yakafuata Mashirika, Sasa ni Zamu ya Media Ina-suffer!Niko hapa ukumbini kufuatilia kwa makini mkutano huu.
P
Sijui ulipatwa na nini ndugu yangu!!!!Niko hapa ukumbini kufuatilia kwa makini mkutano huu.
P