Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 55,777
- 90,495
Ni ile kura moja aliyoambulia Kawe.Siku hizi umepoa sana mtandaoni taabu nini ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ile kura moja aliyoambulia Kawe.Siku hizi umepoa sana mtandaoni taabu nini ?
Niko hapa ukumbini kufuatilia kwa makini mkutano huu muhimu sana wa kumshukuru Mhe. rais, Dr. John Pombe Joseph Magufuli kwa shukrani za maneno na kauli. Shukrani za vitendo tutampa siku ya tarehe 28 October.
P
Msome pasco hapoKwa kweli sekta binafsi imekuwa na mafanikio sana kipindi hiki. Yaani kodi inayokusanywa inaonekana kazi inayofanya.
Bashiru na katuni polepoleHivi ninani anaeratibu hizi pongezi ni mpongezwaji au wapongezaji? Au wapambe maslahi?
Nachojua sekta binafsi imeyumba na iko dholfulihal sasa hizi pongezi zinapongeza Nini?
Superbug.
Ndugu Mayalla nimekuona hapo unazunguka ukumbini nikataka nikusabahi nje ukawa unaondoka na kuingia kwa gariNiko hapa ukumbini kufuatilia kwa makini mkutano huu muhimu sana wa kumshukuru Mhe. rais, Dr. John Pombe Joseph Magufuli kwa shukrani za maneno na kauli. Shukrani za vitendo tutampa siku ya tarehe 28 October.
P