Mkurugenzi wa sera na utafiti wa taasisi ya sekta binafsi nchini (TPSF) Mr. Geliadi Teri amepongeza miaka mitatu ya Serikali ya awamu ya tano kwa kuweka mazingira mazuri kwa wafanyabiashara wa sekta binafsi nchini.
Akizungumza katika kipindi cha Mizani ya Wiki kinachorushawa na AZAM TV Bwana Teri amegusia maeneo manne amabayo ndani ya miaka mitatu ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais Dr. John Magufuli yamefanikiwa ni kukua kwa soko la Afrika mashariki , kuongezeka kwa uhuru wa biashara ya mazao (na utoshelevu wa chakula) , kupungua kwa kiwango cha umasikini (absolute poverty) pamoja na ujenzi wa viwanda ambavyo vimetoa ajira kwa maelfu ya watanzania.
Akizungumza katika kipindi cha Mizani ya Wiki kinachorushawa na AZAM TV Bwana Teri amegusia maeneo manne amabayo ndani ya miaka mitatu ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais Dr. John Magufuli yamefanikiwa ni kukua kwa soko la Afrika mashariki , kuongezeka kwa uhuru wa biashara ya mazao (na utoshelevu wa chakula) , kupungua kwa kiwango cha umasikini (absolute poverty) pamoja na ujenzi wa viwanda ambavyo vimetoa ajira kwa maelfu ya watanzania.