TPDC na EWURA kwa nini wanapotosha Umma kuhusu Dangote & kwa Maslahi ya nani?

SPY CATCHER

JF-Expert Member
Mar 7, 2015
285
186
Men lie women lie numbers don't lie

Ni nani anawatumia TPDC na Ewura kutoa taarifa za uwongo kulipotosha taifa juu ya sakata la Dangote?

Kwa nini Mawaziri Muhongo na Mwijage waliita press conference na kusema kuwa Dangote alitaka gesi ya BURE?

Sasa imekuwaje juzi TPDC wametoa taarifa kuwa Dangote hakutaka Gesi ya bure na walikubaliana bei?

Sasa kwa nini hizo bei walizotoa TPDC haziendani na ambazo walikubaliana na Dangote?

Hiyo nyongeza ya dollar 3 imetoka wapi, lini? iliinginzwa na nani? kwa mkataba upi? zinaenda wapi? kufanya nini?

Hiyo nyongeza ya dollar 3 mbona mamlaka husika wa kupanga hizi bei (EWURA) hawana habari nazo? Kuna siri gani hapa kuhusu hii dollar 3?


Mheshimiwa Magufuli watu wako wanakuchezea akili na nakushauri uwe una refresh Jukwaa la Siasa hapa Jamiiforums kila baada ya dakika 5 utapata more insights into this issue kuliko hao watu wako hapo ofisini kwako.

This plot thickens....
 
Visasi vina endelea mpaka akija stuka kuwa havimsaidii uchaguzi mkuu umeshafika , hajifunzi kwa mwenzake maana naye alianza kwa style hii.
 
Semaa Tanzaniaaaa, nchi yenye udongo wa dhambii,

Tunalisaka sana taji la Ushindiii
 
Kesi ya kuku kwa kunguru hyo Hivi kwa akili yako na confidence ile unahisi mpk mawaziri wawili wanazungmza unategemea maelekezo kutoka wapi... Come on
 
IMG-20161204-WA0019.jpg
 
Men lie women lie numbers don't lie

Ni nani anawatumia TPDC na Ewura kutoa taarifa za uwongo kulipotosha taifa juu ya sakata la Dangote?

Kwa nini Mawaziri Muhongo na Mwijage waliita press conference na kusema kuwa Dangote alitaka gesi ya BURE?

Sasa imekuwaje juzi TPDC wametoa taarifa kuwa Dangote hakutaka Gesi ya bure na walikubaliana bei?

Sasa kwa nini hizo bei walizotoa TPDC haziendani na ambazo walikubaliana na Dangote?

Hiyo nyongeza ya dollar 3 imetoka wapi, lini? iliinginzwa na nani? kwa mkataba upi? zinaenda wapi? kufanya nini?

Hiyo nyongeza ya dollar 3 mbona mamlaka husika wa kupanga hizi bei (EWURA) hawana habari nazo? Kuna siri gani hapa kuhusu hii dollar 3?


Mheshimiwa Magufuli watu wako wanakuchezea akili na nakushauri uwe una refresh Jukwaa la Siasa hapa Jamiiforums kila baada ya dakika 5 utapata more insights into this issue kuliko hao watu wako hapo ofisini kwako.

This plot thickens....

Na wewe upo kwa maslai ya nani? declare interest kwanza
 
Wanao shughulika na gesi ni waziri au TPDC? TPDC walitoa taarifa yao,kesho yake waziri akaropoka tena. Baada ya kusema alidanganya kuwa kiwanda cha Dangote hakijafungwa.
 
Mi nasema hii awamu kuna majamaa yatapiga hela mpaka mtashangaa,tena sasa zinapigwa kwa nguvu,upende usipende,

kutakuwa na matrilionea,
hiyo dola tatu tatu si ajabu zingelipwa na kuingia mfuko maalumu wa mtu katika bank iliyoko Zurich,uswisi
 
Sijui kwanini mpaka sasa Rais hajaingilia hii issue.
Maana kila mtu anatoka na tamko lake.

Ila Forbes wameshatangazia ulimwengu kuwa Dangote kafunga kiwanda sababu operations cost ni kubwa.

Na hii itakuwa na negative impact kwa wawekezaji kuja kuwekeza Tz

Unataraj kitu gani???
 
Men lie women lie numbers don't lie

Ni nani anawatumia TPDC na Ewura kutoa taarifa za uwongo kulipotosha taifa juu ya sakata la Dangote?

Kwa nini Mawaziri Muhongo na Mwijage waliita press conference na kusema kuwa Dangote alitaka gesi ya BURE?

Sasa imekuwaje juzi TPDC wametoa taarifa kuwa Dangote hakutaka Gesi ya bure na walikubaliana bei?

Sasa kwa nini hizo bei walizotoa TPDC haziendani na ambazo walikubaliana na Dangote?

Hiyo nyongeza ya dollar 3 imetoka wapi, lini? iliinginzwa na nani? kwa mkataba upi? zinaenda wapi? kufanya nini?

Hiyo nyongeza ya dollar 3 mbona mamlaka husika wa kupanga hizi bei (EWURA) hawana habari nazo? Kuna siri gani hapa kuhusu hii dollar 3?


Mheshimiwa Magufuli watu wako wanakuchezea akili na nakushauri uwe una refresh Jukwaa la Siasa hapa Jamiiforums kila baada ya dakika 5 utapata more insights into this issue kuliko hao watu wako hapo ofisini kwako.

This plot thickens....
Mkuu ni kweli. Nimeikuta hii mahali.
 
Mheshimiwa Rais aelewe sasa Tanzania imeingia kwenye nchi zisizokuwa na mazingira mazuri ya uwekezaji. Hili limechangiwa kwa kiasi kikubwa na watendaji wake. Haiwezekani mawaziri wenye dhamana na suala hili (viwanda na biashara, na nishati na madini) kushindwa kulitolea ufumbuzi wa ndani hadi kufikia hatua mbaya kiasi hiki.

Vyovyote vile viongozi wa wizara hizi hawastahili kuendelea kuziongoza wizara hizi. Niwakati wa kuihakikishia dunia kuwa Tanzania ni mahali salama na penye mazingira mazuri ya uwekezaji.
 
wametuchafulia hali ya hewa kwa wawekezaji wa nje na hata wa ndani na itatuchukua muda kurudisha imani yao kwetu
 
Sijui kwanini mpaka sasa Rais hajaingilia hii issue.
Maana kila mtu anatoka na tamko lake.

Ila Forbes wameshatangazia ulimwengu kuwa Dangote kafunga kiwanda sababu operations cost ni kubwa.

Na hii itakuwa na negative impact kwa wawekezaji kuja kuwekeza Tz


Duh??

Hapo bado Mitumba mwisho 2017, Sijui nirudi kwenye Magome yangu tu.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom