Tpc

wajameni hivi waliofanya oral interview november pale tpc makao makuu walishaajiliwa?


mi nilipigiwa simu kwaajili ya kazi tangu 12 december, wakasema watatutumia barua lakini mpaka leo barua haijafika, mi nipo mwanza... Mwenye taarifa zaidi.....
 
wakuu nimesikia post controler wameshaitwa sasa sijui na maauditor kama watakuwa tayari wameshaitwa
 
Back
Top Bottom