beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Huduma zimesimama ili kuruhusu zoezi la maboresho kufanyika. Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) imesema Mei 03, 2021 Meli hiyo ya Abiria na Mizigo ilipata changamoto ya kupigwa mawimbi makubwa katika Bandari ya Matema kuelekea Bandari ya Mbamba Bay
Hatua hiyo ya maboresho inazingatia umuhimu wa Usalama wa Abiria na Mizigo ili kuiongezea ubora
Hatua hiyo ya maboresho inazingatia umuhimu wa Usalama wa Abiria na Mizigo ili kuiongezea ubora