real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,287
Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) imepokea meli tano zenye vifaa kwa ajili ya mradi wa ujenzi wa geti jipya kwa ajili ya kushusha magari na upanuzi wa kina cha Bandari ya Dar es Salaam (Dar es Salaam Maritime Gateway Project) unatarajiwa kuanza Rasmi Novemba mwaka huu
Mradi huo utagahrimu shilingi bilioni 336
Mradi huo utagahrimu shilingi bilioni 336