wewe jamaa huaminiki kabisa yaana unakuwa kama Malaria Sugu bwana!!!!! Usitufanye sisi watoto wenzio hapa. Wewe si upo Bcom pale Mlimani. Acha hizo bwana mdogo vinginevyo tutakuwa tunakupuuza sasa hivi. Usidhani kila mtu anafanya mzaha mzaha kama wakoPolen,wa2 2shakula na mishahara huku.