Wacha WeeKesho ndio siku ya kuutumia MKANDA MWEUSI ''black belt'' yangu niliochukua nchini Polland. Navaa jezi ya TP Mazembe na kukaa jukwaa la Yanga, ole wake mtu aniguse
HakikaTp Mazembe tupo pamoja nanyi kwa hali na mali
Kafanya vizuri sana huyo Jamaa Mtani ili idhihirike mioyo tuliyo nayo sasa hata nyie huwa munayo.Kwaiyo ndo umeamua kufufua makaburi
Hii lugha haipandi Swahiba. Naomba tafsiri tafadhali. 😜
😀😀😀😀Makaburi mengine si mchezo.
Hata huu uzi usingekuwepo,watani wangelianzisha tu.Mtani 100 Likes umeiona hii. Kumbe hii michezo ipo Kitaaambo sana.
😀😀😀 ila nimependa sababu Mtani wangu muanzisha huu uzi anatuitaga majina ya kila aina.Hata huu uzi usingekuwepo,watani wangelianzisha tu.
hahaha sina comment mtani, lakini mahala ambayo tumefikia mtani hamtakiwi kuturushia mawe maana twaweza wapatia viti maalum ujueKafanya vizuri sana huyo Jamaa Mtani ili idhihirike mioyo tuliyo nayo sasa hata nyie huwa munayo.
Tunaanzaje sasa wakati hapa kila mtakaloliongea tutaona ni sawa na bure sababu hata na nyie sio wasafi.
😀😀 mambo ya jino kwa jino,siyo?😀😀😀 ila nimependa sababu Mtani wangu muanzisha huu uzi anatuitaga majina ya kila aina.
Ewaaaaaaa.hahaha sina comment mtani, lakini mahala ambayo tumefikia mtani hamtakiwi kuturushia mawe maana twaweza wapatia viti maalum ujue
Haitakaa kutokea Mkuu sababu kila mmoja huwa ana kijiba kwa mwenzie.😀😀 mambo ya jino kwa jino,siyo?
Ila kwa mpira wa u-Simba na u-Yanga hakunaGa kuombeana mafanikio.
haha naona mambo ya jino kwa jino: kesho anacheza taifa stars sio simba mtani msije mkajichanganya tafadharEwaaaaaaa.
Hayo ni ya baadae Mtani na japo ikitokea tutashiriki pia.