TP MAZEMBE ndiyo timu itakayoidhihirishia timu ya SIMBA kwamba haikustaili kabisa kufika hapo ilipofika.

ebaeban

JF-Expert Member
Jan 15, 2012
2,205
2,690
Baado ya droo kupangwa jana na timu ya Simba kupangwa na timu ya TP Mazembe ya mjini Lubumbashi mimi mtoa mada nesikia mashabiki wa Simba wakiinadi timu hiyo ya DRC kama ni timu nyepesi eti watatoboa na kutinga nusu fainali, kwa maneno mengine teyari wameisha ifunga TP Mazembe.

Mimi mtazamo wangu ni kwamba hii timu ya DRC yenye maskani Lubumbashi kusini mwa DRC keribu na Zambia ndiyo timu itakayotoa ukweli kwamba Simba haikustahili hata kufikia hapo ilipofika , imefika tu kwa fluke ya home advantage.

Sisemi kidkiteta nina sababu kadha wa kadha za kiufundi. Nazo ni kama ifuatavyo;-

1. Ni nani shabiki wa Simba atanibishia kwamba katika ligi ya hizo timu nne ni Simba pekee haikuweza kufunga goli ugenini
2. Ni nani atasita kustaajabu ni timu ya Simba imetinga robo fainali ikiwa ni timu iliyofungwa goli 13, hii ina maana gani, inamana ilichotegemea ni home advantage tu . lakini ingekuwa Head to head kama hatua inayofuata inamaana Simba ingefurushwa na VITA kwa kufungwa 5 na zidi ya 2 nyumbani au AL-aHLY 5 zidi ya 1 nyumbani.
3. Hatua inayofuata TP Mazembe wanaanzia ugenini, ina maana Simba hawajui wawafunge Mazembe magoli mangapi ili wasonge mbele tofauti na hatua iliyopita ambapo walikua wanajua waifunge VITA Club magoli mangapi ili wasonge mbele, hii ina maana gani ni TP MAZEMBE ambao ni wazoefu wa kufika hatua hizi ndo watakuwa wanajua waifunge Simba mangapi ili wasonge mbele.

4. Mpaka hatua ilipofikia Timu ya Simba haijaweza kupata ushindi ugenini, JE! hivi tutegemee hatua hii ndo wataanza kushinda ugenini? wacha kupata droo?

5. Woo eti Vita imeifunga TP MAZEMBE mabao 5 kwenye ligi yao ya nyumbani, kwani Simba iliifunga VITA mabao mangapi nyumbani kwao VITA.

6. Mpaka kufikia hatua hii ni TP Mazembe imefunga mabao mengi nyumbani na ugenini kuliko timu zote makundi yote mawili hivi Simba ina nini cha mno isifungwe mabao mengi ikiwa ndiyo timi ilyofungwa mabao mengi kuliko zote makundi yote hadi kufia hatua hii?

Kwa hiyo ninawaambie Simba kwa hatua inayofuata nina uhakika wa 100 kwa 100 ndo mtapewa aksante kushiriki, sijawahi kukosea hesabu zangu labda hii iwe ni mala ya kwanza
 
Baado ya droo kupangwa jana na timu ya Simba kupangwa na timu ya TP Mazembe ya mjini Lubumbashi mimi mtoa mada nesikia mashabiki wa Simba wakiinadi timu hiyo ya DRC kama ni timu nyepei ati watatoboa na kutinga nusu fainali, kwa maneno mengine teyari wameisha ifunga TP Mazembe.

Mimi mtazamo wangu ni kwamba hii timu ya DRC yenye maskani Lubumbashi kusini mwa DRC keribu na Zambia ndiyo timu itakatotoa ukweli kwamba Simba haikustahili hata kufikia hapo ilipofika , imefika tu kwa fluke ya home advantage.

Sisemi kidkiteta ni sababu kadha wa kadha za kiufundi. Nazo ni kama ifuatavyo;-

1. Ni nani shabiki wa Simba atanibishia kwamba katika ligi ya hizo timu nne ni Simba pekee haikuweza kufunga goli ugenini
2. Ni nani atasita kustaajabu ni timu ya Simba imetinga robo fainali ikiwa ni timu iliyofungwa goli 13, hii ina maana gani, inamana ilichotegemea ni home advantage tu . lakini ingekuwa Head to head kama hatua inayofuata inamaana Simba ingefurushwa na VITA kwa kufungwa 5 na zidi ya 2 nyumbani au AL-aHLY 5 zidi ya 1 nyumbani.
3. Hatua inayofuata TP Mazembe wanaanzia ugenini, ina maana Simba hawajui wawafunge Mazembe magoli mangapi ili wasonge mbele tofauti na hatua iliyopita ambapo walikua wanajua waifunge VITA Club magoli mangapi ili wasonge mbele, hii ina maana gani ni TP MAZEMBE ambao ni wazoefu wa kufika hatua hizi ndo watakuwa wanajua waifunge Simba mangapi ili wasonge mbele.

4. Mpaka hatua ilipofikia Timu ya Simba haijaweza kupata ushindi ugenini, JE! hivi tutegemee hatua hii ndo wataanza kushinda ugenini? wacha kupata droo?

5. Woo eti Vita imeifunga TP MAZEMBE mabao 5 kwenye ligi yao ya nyumbani, kwani Simba iliifunga VITA mabao mangapi nyumbani kwao VITA.

6. Mpaka kufikia hatua hii ni TP Mazembe imefunga mabao mengi nyumbani na ugenini kuliko timu zote makundi yote mawili hivi Simba ina nini cha mno isifungwe mabao mengi ikiwa ndiyo timi ilyofungwa mabao mengi kuliko zote makundi yote hadi kufia hatua hii?

Kwa hiyo ninawaambie Simba kwa hatua inayofuata nina uhakika wa 100 kwa 100 ndo mtapewa aksante kushiriki, sijawahi kukosea hesabu zangu labda hii iwe ni mala ya kwanza
 
Baado ya droo kupangwa jana na timu ya Simba kupangwa na timu ya TP Mazembe ya mjini Lubumbashi mimi mtoa mada nesikia mashabiki wa Simba wakiinadi timu hiyo ya DRC kama ni timu nyepei ati watatoboa na kutinga nusu fainali, kwa maneno mengine teyari wameisha ifunga TP Mazembe.

Mimi mtazamo wangu ni kwamba hii timu ya DRC yenye maskani Lubumbashi kusini mwa DRC keribu na Zambia ndiyo timu itakatotoa ukweli kwamba Simba haikustahili hata kufikia hapo ilipofika , imefika tu kwa fluke ya home advantage.

Sisemi kidkiteta ni sababu kadha wa kadha za kiufundi. Nazo ni kama ifuatavyo;-

1. Ni nani shabiki wa Simba atanibishia kwamba katika ligi ya hizo timu nne ni Simba pekee haikuweza kufunga goli ugenini
2. Ni nani atasita kustaajabu ni timu ya Simba imetinga robo fainali ikiwa ni timu iliyofungwa goli 13, hii ina maana gani, inamana ilichotegemea ni home advantage tu . lakini ingekuwa Head to head kama hatua inayofuata inamaana Simba ingefurushwa na VITA kwa kufungwa 5 na zidi ya 2 nyumbani au AL-aHLY 5 zidi ya 1 nyumbani.
3. Hatua inayofuata TP Mazembe wanaanzia ugenini, ina maana Simba hawajui wawafunge Mazembe magoli mangapi ili wasonge mbele tofauti na hatua iliyopita ambapo walikua wanajua waifunge VITA Club magoli mangapi ili wasonge mbele, hii ina maana gani ni TP MAZEMBE ambao ni wazoefu wa kufika hatua hizi ndo watakuwa wanajua waifunge Simba mangapi ili wasonge mbele.

4. Mpaka hatua ilipofikia Timu ya Simba haijaweza kupata ushindi ugenini, JE! hivi tutegemee hatua hii ndo wataanza kushinda ugenini? wacha kupata droo?

5. Woo eti Vita imeifunga TP MAZEMBE mabao 5 kwenye ligi yao ya nyumbani, kwani Simba iliifunga VITA mabao mangapi nyumbani kwao VITA.

6. Mpaka kufikia hatua hii ni TP Mazembe imefunga mabao mengi nyumbani na ugenini kuliko timu zote makundi yote mawili hivi Simba ina nini cha mno isifungwe mabao mengi ikiwa ndiyo timi ilyofungwa mabao mengi kuliko zote makundi yote hadi kufia hatua hii?

Kwa hiyo ninawaambie Simba kwa hatua inayofuata nina uhakika wa 100 kwa 100 ndo mtapewa aksante kushiriki, sijawahi kukosea hesabu zangu labda hii iwe ni mala ya kwanza
Kajifunze kuandika na kusoma kwanza ndio uje hapa utoe mapovu yako.
 
Mashabiki kama ninyi ndio mnaozivunja moyo timu zenu tena ambayo imeonekana kupigana kiume kuliwakilisha taifa. Na tatizo lenu ni roho mbaya. Kila mara mnawaza uchuro na mnaangukia pua, ila hamkomi.

Hiyo unayoiita home advantage kila timu ilikuwa nayo, na ni Al Ahly na Simba pekee ndio walioitumia kwa 100%. Hili sio jambo dogo maana tumeona mwaka jana Yanga akipigwa ndani nje na timu average kama Gormahia kwenye hatua ya makundi confederation cup.

Kingine unapaswa ufahamu kuwa mechi za makundi na mtoano ziko tofauti sana, kama ungekuwa na kumbukumbu nzuri ungepaswa kukumbuka kuwa kabla ya mechi za makundi Simba alicheza mechi za mtoano dhidi ya Nkana na Mbambane na akashinda. Hakuna lisilowezekana katika soka.
 
Baado ya droo kupangwa jana na timu ya Simba kupangwa na timu ya TP Mazembe ya mjini Lubumbashi mimi mtoa mada nesikia mashabiki wa Simba wakiinadi timu hiyo ya DRC kama ni timu nyepei ati watatoboa na kutinga nusu fainali, kwa maneno mengine teyari wameisha ifunga TP Mazembe.

Mimi mtazamo wangu ni kwamba hii timu ya DRC yenye maskani Lubumbashi kusini mwa DRC keribu na Zambia ndiyo timu itakatotoa ukweli kwamba Simba haikustahili hata kufikia hapo ilipofika , imefika tu kwa fluke ya home advantage.

Sisemi kidkiteta ni sababu kadha wa kadha za kiufundi. Nazo ni kama ifuatavyo;-

1. Ni nani shabiki wa Simba atanibishia kwamba katika ligi ya hizo timu nne ni Simba pekee haikuweza kufunga goli ugenini
2. Ni nani atasita kustaajabu ni timu ya Simba imetinga robo fainali ikiwa ni timu iliyofungwa goli 13, hii ina maana gani, inamana ilichotegemea ni home advantage tu . lakini ingekuwa Head to head kama hatua inayofuata inamaana Simba ingefurushwa na VITA kwa kufungwa 5 na zidi ya 2 nyumbani au AL-aHLY 5 zidi ya 1 nyumbani.
3. Hatua inayofuata TP Mazembe wanaanzia ugenini, ina maana Simba hawajui wawafunge Mazembe magoli mangapi ili wasonge mbele tofauti na hatua iliyopita ambapo walikua wanajua waifunge VITA Club magoli mangapi ili wasonge mbele, hii ina maana gani ni TP MAZEMBE ambao ni wazoefu wa kufika hatua hizi ndo watakuwa wanajua waifunge Simba mangapi ili wasonge mbele.

4. Mpaka hatua ilipofikia Timu ya Simba haijaweza kupata ushindi ugenini, JE! hivi tutegemee hatua hii ndo wataanza kushinda ugenini? wacha kupata droo?

5. Woo eti Vita imeifunga TP MAZEMBE mabao 5 kwenye ligi yao ya nyumbani, kwani Simba iliifunga VITA mabao mangapi nyumbani kwao VITA.

6. Mpaka kufikia hatua hii ni TP Mazembe imefunga mabao mengi nyumbani na ugenini kuliko timu zote makundi yote mawili hivi Simba ina nini cha mno isifungwe mabao mengi ikiwa ndiyo timi ilyofungwa mabao mengi kuliko zote makundi yote hadi kufia hatua hii?

Kwa hiyo ninawaambie Simba kwa hatua inayofuata nina uhakika wa 100 kwa 100 ndo mtapewa aksante kushiriki, sijawahi kukosea hesabu zangu labda hii iwe ni mala ya kwanza
Ndg..ivo wee kweli mTZ ?? Au kea uzakendo upi useme hayo juu ? Ajabu uTaifa gani unakusukuma kujiteremsha hadhi Hadi Happ??

Maneno Kama hayo kamwe huwezi pata ktk timu Waarabu au huko Afrika magharibi !!

Weka akiba ya ushabiki ..hata Simba ikishindwa ila Bado wanabeba bendera na jina la Tanzania...

Simba atabaki Simba wa TZ.. hata mbugani ni mfalme !!
 
Baado ya droo kupangwa jana na timu ya Simba kupangwa na timu ya TP Mazembe ya mjini Lubumbashi mimi mtoa mada nesikia mashabiki wa Simba wakiinadi timu hiyo ya DRC kama ni timu nyepei ati watatoboa na kutinga nusu fainali, kwa maneno mengine teyari wameisha ifunga TP Mazembe.

Mimi mtazamo wangu ni kwamba hii timu ya DRC yenye maskani Lubumbashi kusini mwa DRC keribu na Zambia ndiyo timu itakatotoa ukweli kwamba Simba haikustahili hata kufikia hapo ilipofika , imefika tu kwa fluke ya home advantage.

Sisemi kidkiteta ni sababu kadha wa kadha za kiufundi. Nazo ni kama ifuatavyo;-

1. Ni nani shabiki wa Simba atanibishia kwamba katika ligi ya hizo timu nne ni Simba pekee haikuweza kufunga goli ugenini
2. Ni nani atasita kustaajabu ni timu ya Simba imetinga robo fainali ikiwa ni timu iliyofungwa goli 13, hii ina maana gani, inamana ilichotegemea ni home advantage tu . lakini ingekuwa Head to head kama hatua inayofuata inamaana Simba ingefurushwa na VITA kwa kufungwa 5 na zidi ya 2 nyumbani au AL-aHLY 5 zidi ya 1 nyumbani.
3. Hatua inayofuata TP Mazembe wanaanzia ugenini, ina maana Simba hawajui wawafunge Mazembe magoli mangapi ili wasonge mbele tofauti na hatua iliyopita ambapo walikua wanajua waifunge VITA Club magoli mangapi ili wasonge mbele, hii ina maana gani ni TP MAZEMBE ambao ni wazoefu wa kufika hatua hizi ndo watakuwa wanajua waifunge Simba mangapi ili wasonge mbele.

4. Mpaka hatua ilipofikia Timu ya Simba haijaweza kupata ushindi ugenini, JE! hivi tutegemee hatua hii ndo wataanza kushinda ugenini? wacha kupata droo?

5. Woo eti Vita imeifunga TP MAZEMBE mabao 5 kwenye ligi yao ya nyumbani, kwani Simba iliifunga VITA mabao mangapi nyumbani kwao VITA.

6. Mpaka kufikia hatua hii ni TP Mazembe imefunga mabao mengi nyumbani na ugenini kuliko timu zote makundi yote mawili hivi Simba ina nini cha mno isifungwe mabao mengi ikiwa ndiyo timi ilyofungwa mabao mengi kuliko zote makundi yote hadi kufia hatua hii?

Kwa hiyo ninawaambie Simba kwa hatua inayofuata nina uhakika wa 100 kwa 100 ndo mtapewa aksante kushiriki, sijawahi kukosea hesabu zangu labda hii iwe ni mala ya kwanza


Huo ndio uzezeta ss tunautaga ..yaani mpira umechezwa kiwanjani timu imepata point zake na wengine wakapata zao ss ww unasemaje haikustahili ? Alafu iyo bold niliyokuwekea hapo ni takataka ina dhihirisha ww hujui kilichokuwa kinaendelea ktk hatua ya makundi ...
 
Baado ya droo kupangwa jana na timu ya Simba kupangwa na timu ya TP Mazembe ya mjini Lubumbashi mimi mtoa mada nesikia mashabiki wa Simba wakiinadi timu hiyo ya DRC kama ni timu nyepesi eti watatoboa na kutinga nusu fainali, kwa maneno mengine teyari wameisha ifunga TP Mazembe.

Mimi mtazamo wangu ni kwamba hii timu ya DRC yenye maskani Lubumbashi kusini mwa DRC keribu na Zambia ndiyo timu itakayotoa ukweli kwamba Simba haikustahili hata kufikia hapo ilipofika , imefika tu kwa fluke ya home advantage.

Sisemi kidkiteta ni sababu kadha wa kadha za kiufundi. Nazo ni kama ifuatavyo;-

1. Ni nani shabiki wa Simba atanibishia kwamba katika ligi ya hizo timu nne ni Simba pekee haikuweza kufunga goli ugenini
2. Ni nani atasita kustaajabu ni timu ya Simba imetinga robo fainali ikiwa ni timu iliyofungwa goli 13, hii ina maana gani, inamana ilichotegemea ni home advantage tu . lakini ingekuwa Head to head kama hatua inayofuata inamaana Simba ingefurushwa na VITA kwa kufungwa 5 na zidi ya 2 nyumbani au AL-aHLY 5 zidi ya 1 nyumbani.
3. Hatua inayofuata TP Mazembe wanaanzia ugenini, ina maana Simba hawajui wawafunge Mazembe magoli mangapi ili wasonge mbele tofauti na hatua iliyopita ambapo walikua wanajua waifunge VITA Club magoli mangapi ili wasonge mbele, hii ina maana gani ni TP MAZEMBE ambao ni wazoefu wa kufika hatua hizi ndo watakuwa wanajua waifunge Simba mangapi ili wasonge mbele.

4. Mpaka hatua ilipofikia Timu ya Simba haijaweza kupata ushindi ugenini, JE! hivi tutegemee hatua hii ndo wataanza kushinda ugenini? wacha kupata droo?

5. Woo eti Vita imeifunga TP MAZEMBE mabao 5 kwenye ligi yao ya nyumbani, kwani Simba iliifunga VITA mabao mangapi nyumbani kwao VITA.

6. Mpaka kufikia hatua hii ni TP Mazembe imefunga mabao mengi nyumbani na ugenini kuliko timu zote makundi yote mawili hivi Simba ina nini cha mno isifungwe mabao mengi ikiwa ndiyo timi ilyofungwa mabao mengi kuliko zote makundi yote hadi kufia hatua hii?

Kwa hiyo ninawaambie Simba kwa hatua inayofuata nina uhakika wa 100 kwa 100 ndo mtapewa aksante kushiriki, sijawahi kukosea hesabu zangu labda hii iwe ni mala ya kwanza
Punguani wahed.
 
Tambua kwenye ligi kinachoipeleka timu mbele ni point na c magoli! Angalia js soura na vita walikuwa na magoli mangapi mbona hawakusonga mbele? Kumbuka Simba waliweka malengo kwamba wakishinda nyumbani mechi zao 3 bc watakwenda robo fainali! Mpira hauchezwi na historia! Hata wakati ule wamisri walitolewa na simba japo wao ni wazoefu zaidi ya TP MAZEMBE! Haya mambo yanakwenda kwa mpangilio wake ambao makocha na wachezaji wanajua ZAIDI kuliko Mimi na wewe ambao ni washabiki tu! Naaamini kabisa wewe HUKUTEGEMEA kama Simba angefika hatua hii kutokana na hizo 7bu zako! Ngoja mpira uchezwe wewe subiri matokeo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe mleta mada hujuwi historia ya soka ni vzr ungekaa kimya! Hivi unajuwa simba ilishawahi kuivua ubingwa wa hiyo TP Mazembe (ilikuwa ama CAF au Shirikisho) ? na hiyo ilikuwa mwaka mmoja baada ya simba kuwavua ubingwa Zamalek ya Egpty!!!!!!! uwe na uzalendo.
Mazembe walivuliwa ubingwa kwa sababu zozote zile na hiyo hiyo simba unayoikandia leo.
 
Back
Top Bottom