Viol JF-Expert Member Dec 15, 2009 25,426 18,228 Aug 20, 2021 Thread starter #21 supermarket said: Anaekutumia 50,000 anakatwa 2,770 Anaetoa 50,000 anakatwa 4,750 Jumla makato ni 7,520 (Serikali inachukua 4,100 na tigo 3,420) Ref: tigopesa Click to expand... Mkuu inaumiza sana ,kwa mwananchi wa maisha ya chini
supermarket said: Anaekutumia 50,000 anakatwa 2,770 Anaetoa 50,000 anakatwa 4,750 Jumla makato ni 7,520 (Serikali inachukua 4,100 na tigo 3,420) Ref: tigopesa Click to expand... Mkuu inaumiza sana ,kwa mwananchi wa maisha ya chini
Viol JF-Expert Member Dec 15, 2009 25,426 18,228 Aug 20, 2021 Thread starter #22 robinson crusoe said: Haa siku ambayo CCM walishajali, hata kama wapinzani wamejaa bungeni. Wanapiga kelele, baadaye yule kiumbe anawauliza waseme NDIYOOOOO! Click to expand... Unaongea kwa kejeli ila hiyo Kodi unakatwa pia ila ujaifanya lodi lofa
robinson crusoe said: Haa siku ambayo CCM walishajali, hata kama wapinzani wamejaa bungeni. Wanapiga kelele, baadaye yule kiumbe anawauliza waseme NDIYOOOOO! Click to expand... Unaongea kwa kejeli ila hiyo Kodi unakatwa pia ila ujaifanya lodi lofa