Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Hatimae baada ya kelele kila kona na wizi wa kupeana risit zisizo za maashine
Sasa leo ile bango la kulipa sh 500 kwa saa limeondolewa na sasa wananchi watalipa bei zile zile za zamani
Sihivyo tuu kuanzia kesho asbh usipopewa risiti ya mashine usilipe ondoka
Meya ameamuru hiyo kampuni kumwaga mashine za risiti kila kona huku akiwaomba watanzania wasikubali kulipa pesa kama hawajapewa mashine za risiti.
Chanzo: ITV
Wazo langu
Hizo maashine nazo hawawezi kuchakachua mkuu??
Sasa leo ile bango la kulipa sh 500 kwa saa limeondolewa na sasa wananchi watalipa bei zile zile za zamani
Sihivyo tuu kuanzia kesho asbh usipopewa risiti ya mashine usilipe ondoka
Meya ameamuru hiyo kampuni kumwaga mashine za risiti kila kona huku akiwaomba watanzania wasikubali kulipa pesa kama hawajapewa mashine za risiti.
Chanzo: ITV
Wazo langu
Hizo maashine nazo hawawezi kuchakachua mkuu??